h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,532
- 3,316
Nauza Nvidia gtx 760 2GB RAM mpya ni za desktop, unaweza cheza games nyingi za sasa at maximum settings, bei ni 260,000/= anayehitaji anione inbox. Pia kama unataka tofauti na hiyo au unahitaji computer parts for gaming PC kama Processor n.k unaweza ni PM.
Specifications:
1. Model: GTX760
2. GPU: GK104
3. Memory Type: DDR5
4. Bus Width: 128Bit
5. Storage Capacity: 2048MB
6. Bus Standard: PCI-E
7. 3D API: HDMI/DVI
8. Display Ports: HDMI/DVI
9. The Radiator Type: Active Cooling (Fan & Heat Sink)
10. Bus Interface: PCI-E1.1x16
11. Dimensions: (8.86 x 5.00 x 2.01)" / (22.5 x 12.7 x 5.1)cm (L x W x H)
12. Weight: 19.51oz / 553g
13. Color: Gray Black
14. System Supported: Win8-Win7-Winvista-32/64bit-Win10
15. Minimum Support Power Supply: 300W
17. Motherboard PCI Slot: PCI-E
18. Power Source: No
19. Graphics Supported Version of Model: Performance Support for the Latest Drivers
Kama card unayouza ndo hiyo kwenye picha hamna kitu hapo vamery ni fake fake fake fake fake, soma review za hizo card walionunua wote wanalia, ingia hata youtube angalia hizo card wanaonyesha zilivyo za hovyo, hizo card zimejaa ebay na bei zake cheap sana ukilinganisha na other manufacturers i,e MSI, EVGA, ASUS, na NVIDIA wenyewe. Si mshauri yeyote anunue hizo card.