My first problem was the guy who proposed Sept. 1, yaani ni hakujua kwamba Sept.1 ni sikukuu ya majeshi....siku jeshi lilipo anzishwa. Chadema inakurupuka inaanzisha movement ambazo they just doomed to fail. KWELI SIASA MCHEZO MCHAFU!
mkuu hebu tusifinye ubongo basi gharama zote sio zitatoka kwenye wizara moja au posho za hao mawazir zita tosha, hiyo ni moja sehemu ya kukusanya budget ilikuhihamisha serekali
Mzururaji umetema point hatari, mimi naamini mji wa Dodoma hauna accomodation ya kupokea wizara zote na watumishi wake kwa sasa hv pili kunaswala miundo mbinu. Halafu kumbuka kuna balozi kadha wakadha ambazo nazo zina watumishi na zinahitaji maofisi huko Dodoma.
Kweli swala lakuhamia Dodoma ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.