Jenista Mhagama na gharama za kuhamia Dodoma

Mleta uzi nadhani hukumuelewa Jenista vizuri.Nadhani alikuwa anaongelea budget components.Ndio akataja hiyo component ya posho.Siamini kwamba alikuwa na maana kwamba posho ndio the only source of money ya kuweza kuihamisha serikali Dodoma.Kwanza hela ya posho ni hela binafsi ya mtumishi ya kujikimu!
Amemsikia vizuri na mimi nimemsikia...
Hiyo ela ya 'kujikimu' si ndio itageuzwa matumizi sababu hatolipwa per diem maana atakuwa anaudhuria Bunge akiwa Dodoma...

Issue hapo ni watumishi wangapi walikuwa wanaudhuria Bunge hadi wizara iweze ku save ela za kutosha kuamisha watumishi wote (au wangapi) wa wizara?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Amemsikia vizuri na mimi nimemsikia...
Hiyo ela ya 'kujikimu' si ndio itageuzwa matumizi sababu hatolipwa per diem maana atakuwa anaudhuria Bunge akiwa Dodoma...

Issue hapo ni watumishi wangapi walikuwa San sushi ria Bunge hadi wizara iweze ku save ela za kutosha kuamisha watumishi wote (au wangapi) wa wizara?
Sasa akihudhuria bunge hahitaji posho/hela ya kujikimu.Ataishije sasa.Nadhani hujui utendaji wa serikali.Mimi nimefanya kazi serikalini kwenye senior position miaka 36 kwa hiyo najua ninacho ongelea.Siamini kwamba Jenista in mjinga kiasi hicho.Ninyi ndio hamkumuelewa.Vijana wa leo hamko vizuri kabisa.
 
Gazeti limemnukuu kauli zake kwenye hayo mahojiano na pia kuna watu waliangalia hayo mahijiano na kuthibitisha kilichoandikwa na gazeti lakini bado unataka kuja hapa kupotosha! Huyo Jenista ni mmoja wa v.ilaza wakubwa ndani ya hii Serikali ndiye huyu huyu aliyedai kwamba wizara yake itahamia Dodoma ndani ya wiki moja tu bila kutafakari gharama mbali mbali zinazohusika na uhamaji huo. Acha kumtetea huyu k.ilaza.

Mleta uzi nadhani hukumuelewa Jenista vizuri.Nadhani alikuwa anaongelea budget components.Ndio akataja hiyo component ya posho.Siamini kwamba alikuwa na maana kwamba posho ndio the only source of money ya kuweza kuihamisha serikali Dodoma.Kwanza hela ya posho ni hela binafsi ya mtumishi ya kujikimu!
 
Sasa akihudhuria bunge hahitaji posho/hela ya kujikimu.Ataishije sasa.Nadhani hujui utendaji wa serikali.Mimi nimefanya kazi serikalini kwenye senior position miaka 36 kwa hiyo najua ninacho ongelea.Siamini kwamba Jenista in mjinga kiasi hicho.Ninyi ndio hamkumuelewa.Vijana wa leo hamko vizuri kabisa.
Hivi wewe Bunge likiwa Dodoma na waziri makao yake Dodoma...analipwa per diem ya nini????
Hacha kubisha na hukusikiliza hayo maojiano...
Akiitwa Ikulu hapa Dar ambapo ni km kadhaa toka ofisini kwake anapewa pesa ya kujikimu....? embu tuambie mzee wa experience na serikali...
 
''Kuhamia Makao Makuu Dodoma

151. Chama Cha Mapinduzi kinatambua jitihada zilizofanywa na Serikali za
kuunganisha mji wa Dodoma na mikoa mingine kwa njia ya barabara za
lami. Aidha, baadhi ya majengo ya Serikali yameendelea kujengwa
Dodoma likiwemo jengo la Bunge, Benki Kuu, Hazina, Chuo Kikuu cha
Dodoma na Shirika la Nyumba la Taifa limejenga nyumba kwa ajili ya
makazi ya wananchi. Katika kipindi cha utekelezaji wa Ilani hii ya 2015-
2020, Chama Cha Mapinduzi kitaielekeza Serikali kufanya yafuatayo:-

(a) Kutunga Sheria itakayoutambua mji wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi;
(b) Kusimamia azma ya Serikali ya kuhakikisha majengo yote ya Wizara za Serikali
yanajengwa Dodoma badala ya Dar es Salaam; na
(c) Kuongeza kasi ya kupima viwanja kwa ajili ya makazi, viwanda na taasisi na
kuendelea kuiweka miundombinu ikiwemo maji, umeme na barabara.''

Kwa kuzingatia hilo, kwa nini viongozi wanashindwa kuwa wakweli na kuendelea kuaminisha umma wa Watanzania kwa mambo ambayo siyo kweli. Kimsingi hata sheria ya kutambua Dodoma kama Makao Makuu ya nchi haipo.

Nachelea kusema siku itakapofika kibao kitawageukia na hakika watatumbuliwa mchana kweupe
hakuna lumumba anayejaribu kuijibu hii hoja...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huyu Jenista Mhagama anadhani hizo posho za Mawaziri za miezi mitano ndiyo zitatosha kugharamia Serikali kuhamia Dodoma? Duh!

Gharama za kuhamia Dodoma ni kati ya 1.5 trillion mpaka 2 Trillioni halafu yeye anakuja na posho za miezi mitano za Mawaziri na anashindwa kuweka wazi hata hizo posho zake anazostahili kupata kwa hiyo miezi mitano.

========

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu wa Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama amesema suala la bajeti ya kuhamishia makao makuu ya Serikali kutoka Dar es Salaam litatatuliwa kwa kutumia posho za safari za mawaziri.

Akizungumza katika kipindi cha Safari ya Dodoma kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Mhagama amesema suala la bajeti wanalijua wenyewe serikalini.

“Bajeti tulizopanga, hasa ya 2016/17 sisi tunajua tulipanga nini, tunafahamu mapato yaliyopitishwa na Bunge yakoje. Kwa mfano mimi Jenista (waziri) kwa mwaka huu mzima wa fedha nina mikutano minne Dodoma. Kwenye ile mikutano yote natakiwa kulipwa posho, maana yake ni kuwa napaswa nipate posho ya miezi mitano, sasa fedha hiyo ndiyo itakayoingizwa kwenye gharama za kuihamishia Serikali Dodoma,” amesema.


Chanzo: Mwananchi
Zita tosha mkuu, piga posho zote za wazir na dereva wake pamoja na mafuta na vitu vingine, ambavyo huwaa wanapewa kila wanaposafir kwenda kwenye vikao
Huyu Jenista Mhagama anadhani hizo posho za Mawaziri za miezi mitano ndiyo zitatosha kugharamia Serikali kuhamia Dodoma? Duh!

Gharama za kuhamia Dodoma ni kati ya 1.5 trillion mpaka 2 Trillioni halafu yeye anakuja na posho za miezi mitano za Mawaziri na anashindwa kuweka wazi hata hizo posho zake anazostahili kupata kwa hiyo miezi mitano.

========

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu wa Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama amesema suala la bajeti ya kuhamishia makao makuu ya Serikali kutoka Dar es Salaam litatatuliwa kwa kutumia posho za safari za mawaziri.

Akizungumza katika kipindi cha Safari ya Dodoma kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Mhagama amesema suala la bajeti wanalijua wenyewe serikalini.

“Bajeti tulizopanga, hasa ya 2016/17 sisi tunajua tulipanga nini, tunafahamu mapato yaliyopitishwa na Bunge yakoje. Kwa mfano mimi Jenista (waziri) kwa mwaka huu mzima wa fedha nina mikutano minne Dodoma. Kwenye ile mikutano yote natakiwa kulipwa posho, maana yake ni kuwa napaswa nipate posho ya miezi mitano, sasa fedha hiyo ndiyo itakayoingizwa kwenye gharama za kuihamishia Serikali Dodoma,” amesema.


Chanzo: Mwananchi
 
Yeye Waziri kwa miaka chungu nzima sasa hajui analipwa posho kiasi gani kwa miezi mitano? Hivi unaijua lakini Trilioni 1 na nusu!? Kwanini Waziri wa Fedha asitoe kauli kama hii kwamba posho za miezi mitano zitatosha kugharamia uhamaji huu wa kukurupuka?

Zita tosha mkuu, piga posho zote za wazir na dereva wake pamoja na mafuta na vitu vingine, ambavyo huwaa wanapewa kila wanaposafir kwenda kwenye vikao
 
Yeye Waziri kwa miaka chungu nzima sasa hajui analipwa posho kiasi gani kwa miezi mitano? Hivi unaijua lakini Trilioni 1 na nusu!? Kwanini Waziri wa Fedha asitoe kauli kama hii kwamba posho za miezi mitano zitatosha kugharamia uhamaji huu wa kukurupuka?
mkuu hebu tusifinye ubongo basi gharama zote sio zitatoka kwenye wizara moja au posho za hao mawazir zita tosha, hiyo ni moja sehemu ya kukusanya budget ilikuhihamisha serekali
 
Acha kukurupuka na kuandika vitu ambavyo haviingii akilini. Iweje basi majaliwa aseme kikao cha Bunge mwezi ujao kitajadili na kupitisha bajeti ya dharura ya kuhamia Dodoma badala ya kunyofoa kutoka huku na kule kwenye bajeti iliyopo ya 2016/2017?

Hii Serikali haijitambui hata kidogo huyu anazungumza hivi leo, kesho mwengine atazungumza kauli tofauti kabisa.

mkuu hebu tusifinye ubongo basi gharama zote sio zitatoka kwenye wizara moja au posho za hao mawazir zita tosha, hiyo ni moja sehemu ya kukusanya budget ilikuhihamisha serekali
 
Serikali lazima ihamie Dodoma. Sasa hii mijadala ya watahamiaje ni wao kujua. Tunapoteza tu muda kujadili mambo yaliyo nje ya uwezo wetu.
 
Nyie mnaokosoa kana kwamba mmechiimba izo gharama , mmezikeshea na kuja na izo 1.5T ya ninin ? How do u know it comes to a t not b's

Serikali hii hazizitaki hizo esabu zenu , zinataka za mikanda iliyobanwa ...,
Suala la kuamia dodoma linawezekana by this government's way and never ever your way....

Na hili nalo hamlijui?
Sio kwanamna yenu, namna mnavotaka...! No way
KIDHUNGU AU KIINGLISH
 
Waacheni wanamizuka ya kuonekana domdom bila kufikiri namna watakavyofika huko!
 
Huyu Jenista Mhagama anadhani hizo posho za Mawaziri za miezi mitano ndiyo zitatosha kugharamia Serikali kuhamia Dodoma? Duh!

Gharama za kuhamia Dodoma ni kati ya 1.5 trillion mpaka 2 Trillioni halafu yeye anakuja na posho za miezi mitano za Mawaziri na anashindwa kuweka wazi hata hizo posho zake anazostahili kupata kwa hiyo miezi mitano.

========

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu wa Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama amesema suala la bajeti ya kuhamishia makao makuu ya Serikali kutoka Dar es Salaam litatatuliwa kwa kutumia posho za safari za mawaziri.

Akizungumza katika kipindi cha Safari ya Dodoma kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Mhagama amesema suala la bajeti wanalijua wenyewe serikalini.

“Bajeti tulizopanga, hasa ya 2016/17 sisi tunajua tulipanga nini, tunafahamu mapato yaliyopitishwa na Bunge yakoje. Kwa mfano mimi Jenista (waziri) kwa mwaka huu mzima wa fedha nina mikutano minne Dodoma. Kwenye ile mikutano yote natakiwa kulipwa posho, maana yake ni kuwa napaswa nipate posho ya miezi mitano, sasa fedha hiyo ndiyo itakayoingizwa kwenye gharama za kuihamishia Serikali Dodoma,” amesema.


Chanzo: Mwananchi
Posho za mawaziri zihamishe wizara Dodoma??? .Kama ni kweli basi Sina hakika kama hii Serikali inajua inachokifanya.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Oneni aibu basi....mfano mmoja tu kautoa na amesema wanajua kwenye budget wamepanga nini. Then formular ya kuhamia wanaifahamu. Mbona mpo tu kuona watu wanashindwa? Dodoma tunaenda na nchi tutaiendeleza....nyinyi bakini na maneno yenu meeengiii ambayo hayajawahi leta suluhisho kwa shida zetu za kila siku!
hivi kwani bajeti siri? pitia vitabu vya bajeti kama kuna kuhamia dodoma? pia kuna sheria kama mnataka kubadili vifungu vya matumizi mpeleke bungeni wakajadili
 
  • Thanks
Reactions: Ame

Similar Discussions

Back
Top Bottom