mnataka chadema mpewe nafasi ya kuweka mikutano ili muwasilimeshe raia maana mnaongea nasa na hata mkiombwa ushahidi mnalieta kaeni hivyo hivyo chama kiendelee kukita mizz
Mbona ni jambo dogo kujuwa chukuwa dira la mkeo na wigi na vipodozi paka vipodozi weka na tangi ya mdomo vaaa wigi na dera kisha nenda hadi huko unapo hitaji kifanya upekuzi kisha tuletee jibu
pole kwa jeshi la jwtz kwa kumpoteza mlinzi wa nchi yetu na pole kwa family ya neema kwani kiongozi wa family hiyo kuondoka kwa kulazimishwa polici wafanye harika kumpata asiji kutanguliza wengine
kwa mimi sioni kama kunahaja ya kutumia nguvu sana jamaa aachane nae kwa muda atafute chombo kingie huyo mwanamke akigunduwa jamaaa kavuta demu mwingine hato kubali lazima nguvu za giza zitashindwa km unavyo fahamu wanawake huwa hawapendi kukuona na mwingine ni hayo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.