ni kweli hawajui watakacho wanawake! lkn pia hawaridhiki hata baadhi ya vitabu vya m/mungu vinasema kuwa tuwafanyie yote mazuri kamwe hatutawaridhisha wanawake"
hapo ishu sio window bali kitu cha kwanza ni kuangalia hy laptop yako kama ina web camera ksha unaweza kudownload cybercamera then utainstall na inaweza kufanya kazi unayoihitaji
sawa bhana kaka, ishu hiyo ni ya mwajiri na mwajiriwa ss itakuwaje mumewe anataka kujua sbb, tambua kuwa hana haki ya yy kupewa sababu amuulize mkewe ndio mwenye kujua kosa alilofanya kazini kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.