Wanaume tuna kazi tena nzito

Wanaume tuna kazi tena nzito

Mh hapo utachoma mahindi sana potezea Tu huku kupenda ni shida sana unayemlilia we we hata hana habari na we we lakini nayeye anakesha anamlilia mtu ambaye hana habari naye.

kweli mzee ndio habari ya malovee hiyo" umexomeka vzr
 
vumilia ila jiwekee muda maalum ukipita haujaisoma potezea kwani kukujibu tu sms ni dalili za matokeo chanya
 
Try to make yourself expensive.... usijirahisishe sana! sio kila saa una mtext. Sometimes jifanye uko bize sana ,na mlie mikausho....atakutafuta mwenyewe.
 
Ndoano yako kaichongeshe tena kwa fundi uliyonao haiwezi kumnasa huyo binti
 
emh kosea kutuma mpesa kwake... afu uone kama ataendelea kuchuna!!! mkono mtupu haulambwi
 
Mtu ambae haonyeshi ushirikiano na wewe hata kama unamtongoza unatakiwa kuachana nae.

Umenikumbusha kuna mdada nlikaa nae seat 1 tunaelekea tabata sasa nikawa nampigisha stor hata haonesh kuwa anasikiliza nikasubiri ashuke na me nikashuka nikamtia vibao huez kuamini mpk nlijishangaa
 
usiwe na haraka mda wake ukifika atakolea tu tena hukupaswa kuuliza why hakupigii jifanye umelizika mpe hela mpigie mara kwa mara atajiongeza tu usipende kumgombeza kwa jambo dogo
 
Umenikumbusha kuna mdada nlikaa nae seat 1 tunaelekea tabata sasa nikawa nampigisha stor hata haonesh kuwa anasikiliza nikasubiri ashuke na me nikashuka nikamtia vibao huez kuamini mpk nlijishangaa
hahahahaaaha. Hawabwatu shida sana unaweza kutamani umuue kabisa halafu akija kukumbuka too late anaanza kukusumbua na matext wakati alikuona we lofa ba pumbavu.
 
sasa kanunua simu ya kazi gani?

Wewe kama nani una muamulia mtu jinsi ya kutumia simu yake?
Yes amenunua simu, so? Unisumbue kisa nina simu?
Sio kila mtu ana hobby ya kushikashika simu kila saa.
 
We komaa naye tu, maana wanaume wanaanza kupenda from 100% kushuka chini to 0% ila wanawake wanaanzaga kupenda from 0% kwenda juu to 100%...
So wakati pale zina cross to each other kila mtu yuko 50% ,wewe unaelekea chini yeye anaelekea juu hapo mapenzi ndio huwa moto moto, baadaye akifika 100% wewe upo 0% ndio mambo yataanza kubadilika

Ipo siku yeye ndio hataanza kulia na kulalamika mbona haumpigii simu..believe me,I have experienced it to many girls
 
Kuwa mpole, w'wke c km wanaume. Kama unadhamira nae kwel mpe muda, huyo bado anakutafakari
 
Wasalaam!

Nimerudi nyumbani takribani siku si nyingi toka chuo (nimemaliza), sasa katika pita pita zangu nikamuona binti mmoja mzuri na anafaa hata wakati wa dhiki.

Ishu ikaja wakati wa Kampeni (kutongoza) binti akadai kuwa hapendi kuwa na wanaume wasomi nikabembeleza akakaa sawa tukaanza mahusiano. Tatizo linakuja mimi tu ndo natuma sms na kupiga ye ni kujibu tu, hapigi wala hatumi sms!

Nikaamua kukaa kimya kama siku 2 bahati nzuri nikakutana nae nikamwambia nimechoka na hali ya kupiga mimi tu kila Day! Akajibu ameacha hiyo tabia na akawa anajibu sms kila napotuma lakini ishu ya yeye kuanza kunitafuta ndo shughuli nikamuuliza kwanini unafanya hivi alichonijibu sasa."Unajua bado kupenda usijali nitakua poa''

Hadi sasa najiuliza nita "paona" kweli au ntachoma utambi bure kukimbiza upepo!

Mvumilivu hula mbivu nilimpata mmoja kama huyo sahv ye ndo kakolea balaa nafikiria kumpa usajili wa kudumu tule viapo so kuwa mvumilivu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom