Jamani mizinga (kuchuna) inapunguza mapenzi

Jamani mizinga (kuchuna) inapunguza mapenzi

Kutoa Mtu Anatoa Ila Sio Biashara Za Kusabisha Mie Niwe Lofa
 
Hivi kwa iyo izo papuchi ni biashara, inamaana gani ya kuendelea ya kuwa wapenzi !!, ninavyojua wapenzi ni tofauti na malaya wanaojiuza so nyinyi mademu zetu ni Malaya mana sasa iyo mizinga imezidi inakuwaje kama munajiuza sasa munakera sana

mbona wanawake wazuri na watamu wanapatikana two kwa buku tena hadi tano tena unaweza kuwabadilisha kila siku
 
Wanadada punguzeni mizinga isiyo ya lazima.Mtu hamjaoana lakini hela anazoomba ni zaidi ya mke wa ndoa.Anakutajia shida lundo we kama babake.

Weaving 50,000,nguo yangu ipo kwa fundi 80,000,nimechoka simu ya batani nataka huawei y 360 180,000.Beby Weekend tunakichen part nitoe 20,000 ya zawadi.

Jamani haya ni mapenzi au biashara?

Mbona wanawake wapo wengi sana na wanapatikana kwa bei chee sana kwanini uangaike na wanawake wa mtindo huo? tena ungejuwa kuwa hawa tunawaita mademu zetu ndiyo malaya wa kutupwa na anaweza akakuletea ukimwi achana nao,,,,

fanya hiv i
ukiona una nyege unaenda maeneo yetu yale unachukuwa mmoja au wawili unabeba guest unawakula hadi unalizika unawapa buku ten ten basi very simple sana
 
Me Nishagawa Atm Na Pasword
 
Beby Mimba Yangu Inataka Kuku Daily Na Lijuice La Azam La 3500
 
ni kweli inabidi wapoze rim ht kidogo" mizinga ni noma inapoteza mood coz ukiona sms moyo paaa sijui nn leo? ukiona simu unaogopa kupokea unawaza mzinga ujao"
 
Habar ndio hyo
 

Attachments

  • 1440869575885.jpg
    1440869575885.jpg
    22 KB · Views: 244
Na kwanini upige vizinga? Just be a woman na mwanaume anayetambua majukumu yake atatoa tu yaani walaaa hutumii nguvu, hivyo vizinga vya vocha waachi form 2.

Nilikumiss tu my manka teh
 
Back
Top Bottom