Recent content by Chumchang Changchum

  1. Chumchang Changchum

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Iko privet sana... maswala ya ndoa magumu...
  2. Chumchang Changchum

    Kwani tuliwakosea nini wanawake? Tangu Eden?

    Tatizo lako babu.iliendekeza sana chuchu msumali bint sketi,Hahahaha
  3. Chumchang Changchum

    Kwa nilichokiona Morogoro, ni sahihi kusema serikali ya CCM inachelewesha maendeleo ya huu mkoa kwa makusudi kabisa!

    Mikumi kuna uwanja wa ndege na sasa kuna mikakati ya kuongeza ...... mengine wa Morogoro anaitwa mseme haya ya kweli, Semeni comments twende na hali ya dunia ilivyo
  4. Chumchang Changchum

    Zanzibar wanashindwa Kuvuta Maji kutoka Dar km 67 tu? Wanakazana kujenga Misikiti

    Walipe deni letu la umeme...Shobo hatutakiwi.
  5. Chumchang Changchum

    Baba Mkwe ananidai Mahari

    Laki 5 si unaona mke mwengine.... Jiongezee
  6. Chumchang Changchum

    Niffer kaanza kuwa mweusi

    Namkumbuka Bibi Titi Mohamed...
  7. Chumchang Changchum

    Jemedari Saidi ahoji ukimya wa BAKWATA wakati Quran ikibagazwa bungeni hadharani

    Wengi ni member wa JF basi wamsikilize Sheakh na waombe msamaha kwa Kila wao.Hakika Mwenyezi Mungu ni mjuzi zaidi...{Case closed}
  8. Chumchang Changchum

    Nile vyakula gani niongeze kilo 5 ndani ya wiki2?

    Kunywa wanzuki.kamoko na kipolo cha wali ndondo... Majibu utapata...
  9. Chumchang Changchum

    Hivi mwanaume kabisa upo serious unasema una mpenzi wakati hata nauli ya kukufuata ulipo hana mpaka umtumie

    Mkuu huyo ni biashara,usipo jiongeza wata nunua wengine. Na ndio biashara pekee duniani,muuzaji ubaki na mali zake.....😆😆😆
  10. Chumchang Changchum

    JamiiForums Usiku wa manane

    Longtime hapa Lindoni... walinzi wa Taifa,Niaje mitaa hii
  11. Chumchang Changchum

    Iran wamepokea mzigo wa Kutosha kutoka Urusi

    Inaonekana kuna ukweli, Ndevu wanataka kumtoa... Keep my words patachimbika kuliko mwanzo...
  12. Chumchang Changchum

    Usiku mnakulaga nini wenzangu?

    Nilijaribu kila matunda sikutoboa! Na kilo ndio zinaongezeka... Sasa,19-20:00 vyakula vya kawaida tuu,na baada ya hapo matunda mawili matatu....
  13. Chumchang Changchum

    Vitu gani vidogo vidogo vinakufurahisha kwenye maisha?

    Story bila picha kadogo haziinogii...
Back
Top Bottom