Gari moja limezama baharini eneo la Kivukoni lilipokuwa limeegeshwa likisubiria kivuko.
Inasemekena kuwa gari hilo lilikuwa na abiria wawili wakati likizama. Hadi hivi sasa mtu mmoja (Mwanaume) amekwishapatikana kwani wakati gari linazama aliruka nje ya gari.
Harakati za Waokoaji kutafuta mwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.