Angalau MANGE taarifa zake ziko serious na ni mara chache huwa analeta taarifa zisizo sahihi ukilinganisha na MARIA ,ambaye kwa siku anaweza kupost mara kadhaa,hata story zake zingine ni za kitoto sana
Mkuu hili ndiyo kosa kubwa linalofanyika kwa wengi mnaojiita wazalendo, kumbe ni kichaka cha kutafuta maslahi, sasa kama unatafuta nchi ili nawewe uje kuua, unatofauti gani na unayemlalamikia leo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.