Nikama mkusanyiko tu wa kelele za pale Karume kwa wamachinga, huwezi kusikia hoja yoyote ya maana ikijadiliwa,ni upuuzi upuuzi tu......kuna ofisi ya umma nilikaa sasa Bunge lilikuwa live, honestly ni kichefuchefu sana,ila kinachouma ni matumizi mabaya ya air time kwenye television,posho na...
Alichokisema Donald, ndiyo ukweli uliofichwa kwa miaka mingi, kabla ya kuchaguliwa huyu Papa, Trump aliweka Picha yake kwenye Miranda yake ya kijamii akiwa na mavazi ya Papa,pia kuprove hilo kwanini Papa mwenye asili ya Africa hajawahi kupatikana? Pamoja na mapungufu ya Trump ila mambo mengi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.