Kwa nchi za dunia hii ya tatu,mtu unaweza kwenda ukatoa maelezo vizuri na ndiyo ika mwisho wako kuona mwezi baada ya muda mfupi......nchi hizi tulizopo ukweli hautakiwi kabisa,ndiyo maana baada ya yule kijana aliyekatwa mguu na yule Mama kuongea ukatili uliokuwa ukiendelea,wakaamua kuipeleka...
"ATCL pumbavu zenu " tuna namna ya kuwasilisha Kero lakini Zungu alikuwa kama kalewa,Shirika letu kweli ni kero kubwa sana na malalamiko ni ya muda mrefu lakini namna ya uwasilishaji wake ulimshusha heshima kiasi.
NB:Msigwa alishapoteza mwelekeo sana,amekuwa mjinga mjinga sana
Ukitoka stand ya mkoa zamani pale kama unaelekea Mabibo,mbele kidogo unakutana na njia inayotokea EXTERNAL...kuna taa........hapohapo ndiyo kuna malori kibao yamepaki hapo barabarani.........kuna Bandari kavu pale inaitwa Bravo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.