Recent content by Chukwu emeka

  1. Chukwu emeka

    Je mayai na kuku wa kizungu wanafaa Kwa familia ulaji w mara Kwa mara? Au ni ya kubutudikia Kwa wauza chipsi na nyama magengeni

    Siku hizi zi unaona magonjwa ya ajabu ajabu kama Cancer na mengine mengi,chanzo ni pamoja na hayo matakataka
  2. Chukwu emeka

    TANZIA Pumzika kwa amani Profesa Costa Ricky Mahalu!

    R.i.P Prof......huyu ndiyo alimpandisha Ben Mkapa kizimbani kama shahidi wake muhimu
  3. Chukwu emeka

    Thinking Aloud Kwa Maslahi ya Taifa: Ikitokea Umeitwa Mbele ya Tume ya Jaji Chande, Je Utatoa Ushirikiano?, Na Ukifika Mbele ya Tume, Utoe Hoja Gani?

    Kwa nchi za dunia hii ya tatu,mtu unaweza kwenda ukatoa maelezo vizuri na ndiyo ika mwisho wako kuona mwezi baada ya muda mfupi......nchi hizi tulizopo ukweli hautakiwi kabisa,ndiyo maana baada ya yule kijana aliyekatwa mguu na yule Mama kuongea ukatili uliokuwa ukiendelea,wakaamua kuipeleka...
  4. Chukwu emeka

    Ni Msemaji Mkuu au Shushushu? Je, Serikali inachunguza Waandishi kinyume cha sheria (Surveillance) na kuwafanyia blackmailing?

    "ATCL pumbavu zenu " tuna namna ya kuwasilisha Kero lakini Zungu alikuwa kama kalewa,Shirika letu kweli ni kero kubwa sana na malalamiko ni ya muda mrefu lakini namna ya uwasilishaji wake ulimshusha heshima kiasi. NB:Msigwa alishapoteza mwelekeo sana,amekuwa mjinga mjinga sana
  5. Chukwu emeka

    Msaada wa dharura mtoto 2yr anajoto kali sana mwili mzima amechemka sana

    Mpeleke hospital,unatafuta ushauri kwa jambo la joto kweli 😔
  6. Chukwu emeka

    Kampeni zimeisha, pikipiki na baiskeli alizogawa Samia zinadaiwa huko

    Hii nikweli, Pikipiki zote walizopewa Madiwani na Makatibu maeneo ya kata wanatakiwa kuzirudisha hadi mwisho kesho
  7. Chukwu emeka

    KERO Foleni isiyo ya lazima makutano ya Barabara ya taa za Ubungo Maziwa (Kigogo road na Barabara inayotokea EXTERNAL)Eneo linaitwa Shungashunga

    Ukitoka stand ya mkoa zamani pale kama unaelekea Mabibo,mbele kidogo unakutana na njia inayotokea EXTERNAL...kuna taa........hapohapo ndiyo kuna malori kibao yamepaki hapo barabarani.........kuna Bandari kavu pale inaitwa Bravo
Back
Top Bottom