Recent content by Chukwu emeka

  1. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi mzazi kuuza nyumba au mali pasipo kuwaambia watoto wake?

    Hizo ni mali zake, nawewe jenga yako then utauza
  2. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Taji Liundi: Wabunge acheni kutufanya Watanzania kama Mazuzu. Kuweni serious, ama muachie madaraka. Mnatudharau

    Nikama mkusanyiko tu wa kelele za pale Karume kwa wamachinga, huwezi kusikia hoja yoyote ya maana ikijadiliwa,ni upuuzi upuuzi tu......kuna ofisi ya umma nilikaa sasa Bunge lilikuwa live, honestly ni kichefuchefu sana,ila kinachouma ni matumizi mabaya ya air time kwenye television,posho na...
  3. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania KERO Selcom inatukata pesa nyingi kama 'penalty' kila unapokosea muamala

    Duuh aiseee.....shamba la Bibi kila mtu na kichaka chake
  4. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Papa Leo: Siogopi utawala wa Trump. Nazungumzia Injili, mimi si mwanasiasa

    Alichokisema Donald, ndiyo ukweli uliofichwa kwa miaka mingi, kabla ya kuchaguliwa huyu Papa, Trump aliweka Picha yake kwenye Miranda yake ya kijamii akiwa na mavazi ya Papa,pia kuprove hilo kwanini Papa mwenye asili ya Africa hajawahi kupatikana? Pamoja na mapungufu ya Trump ila mambo mengi ya...
  5. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Marekani kwishnei

    Multpolar world .............. unipolar inakufa taratibu taratibu
  6. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania GRAPHIC-PICTURES: Hezbollah waliogaragazwa huko Lebanon !!

    Inasikitisha sana, Dunia ya leo binadamu hana thamani tena 😔
  7. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Wasukuma hii ni karne ya 21 Tuelimike. Unasafirije na kuku kwenye basi kutoka mkoa huu hadi mkoa mwingine?

    Mi siyo msukuma,ila tuwaache na identity yao,tukubali kuvumiliana cos kile unachokiona siyo,wengine ni sawa
  8. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Bunge laagiza kikao cha dharura kujadili kupanda kwa bei za mafuta

    Kibogoyo anataka kula Makande
  9. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Hivi kuandika hivi Kwa kizazi hiki ndio swaga ama Nini?

    Nikipokea ujumbe wenye maandishi ya kipuuzi kama hayo huwa sijibu,wajomba na wale wananiita Ba mdogo wanajua,now wamenyooka
  10. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Muhoozi mbona mropokaji sana? ana sifa kuwa CDF kweli?

    Nchi ya Baba anaweza kusema lolote,japo juzi kaongea fact kwa wale mnaopiga goti mkiwavisha Pete wachumba zenu😀
  11. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Prof. Lipumba: Kwa wastani wa vituo na idadi ya waliotajwa kupiga kura, isingewezakana kumaliza kwa siku moja

    Yuko sahihi ndiyo maana now siyo Mwenyekiti wa CUF cos nchi yetu ukweli hautakiwi
  12. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Je mayai na kuku wa kizungu wanafaa Kwa familia ulaji w mara Kwa mara? Au ni ya kubutudikia Kwa wauza chipsi na nyama magengeni

    Siku hizi zi unaona magonjwa ya ajabu ajabu kama Cancer na mengine mengi,chanzo ni pamoja na hayo matakataka
  13. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania TANZIA Pumzika kwa amani Profesa Costa Ricky Mahalu!

    R.i.P Prof......huyu ndiyo alimpandisha Ben Mkapa kizimbani kama shahidi wake muhimu
  14. Chukwu emeka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums, taja member bora wa muda wote wa jukwaa hili. "JF GOAT"

    Pascal Mayalla my all time G.O.A.T
Back
Top Bottom