Recent content by Chukwu emeka

  1. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Mangungu lazima abaki Simba sports Club

    Ngungu boy alindwe kwa wivu mkubwa
  2. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Nahitaji 260,000k Tarehe 18 mwezi huu naombeni kazi au mchongo mpaka tarehe hiyo niwe nimepata hiyo hela

    Nimeona nikajua mm ndiyo siko well informed na hako ka K
  3. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Wenye akili nyingi huwa wanaishi nje ya mji

    Unaweza kukaa katikati ya mji ukawa na nusu eka yako akatengeneza garden na mazingira kama upo nje ya mji,nina ushahidi ushahidi mtu mmoja yupo Sinza hapo, ila ukiingia ndani kwake ana eneo kubwa lenye bwawa la kuogelea,uwanja wa wenye nyasi bandia kama square meters 350,gym na bustani za...
  4. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo matunda ya kumsikiliza Maria Sarungi na wenzake, haya ndiyo matokeo ya kufuata kazi za shetani

    Njia ya kufika nchi ya ahadi ni nyembamba mkuu,mapambano lazima yawe na vikwazo
  5. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Why Do You Cheat?

    Kwahiyo unatafuta Pesa? Unajiuza
  6. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi ahimiza Watanzania tupambanie Katiba Mpya. Ni yeye au AI?

    Inawezekana ni strategic plan tu,maana ukiingia X na hapa jamii forums, wengi wanashangilia jambo hili.....Inaweza kuwa Political mind game tu
  7. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania FT: Belgium 3-2 Senegal | World Cup 2026 | Lumen Field | 1 Julai, 2026 |5:00 Usiku

    Wakienda matuta, kipa Kotwaa hatakubali
  8. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Siri ya soda ya coca cola na funzo kwa maisha

    Hao watu wawili wataishi milele? Lazima wanajua wengi tu
  9. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Wanaojiuza Zanzibar yadaiwa wanatoka Bara na Kenya. Wanunuzi watoka wapi? Na soko kwa nini liwe Zanzibar?

    Mara kadhaa nakuwa Zanzibar, hakuna wanawake mafuska kama wanawake wa Zanzibar, pia fanya utafiti Pampers za watu wazima zinauzwa sana wapi? Wanawake wa kizenji wengi wameharibiwa hata akipiga chafya tu, haja inatoka,......Zenji vitoto viko radhi kutoa jicho ili bikra iwepo cos hawezi kuolewa...
  10. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Musukuma: Mawaziri wa Zanzibar chungeni kauli zenu za kibaguzi bungeni, Rais achukue hatua

    Neno Tanzania zimeiba neno Tanganyika yetu
  11. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi mzazi kuuza nyumba au mali pasipo kuwaambia watoto wake?

    Hizo ni mali zake, nawewe jenga yako then utauza
  12. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Taji Liundi: Wabunge acheni kutufanya Watanzania kama Mazuzu. Kuweni serious, ama muachie madaraka. Mnatudharau

    Nikama mkusanyiko tu wa kelele za pale Karume kwa wamachinga, huwezi kusikia hoja yoyote ya maana ikijadiliwa,ni upuuzi upuuzi tu......kuna ofisi ya umma nilikaa sasa Bunge lilikuwa live, honestly ni kichefuchefu sana,ila kinachouma ni matumizi mabaya ya air time kwenye television,posho na...
Back
Top Bottom