Recent content by Chukwu emeka

  1. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Si kweli, kuna mengi ya sisi waafrica yamefunikwa
  2. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania An extreme coincedence? Kuanguka kwa Mbowe na kupotea kwa Johnthebaptist!

    Huwezi jua,inawezekana tayari yupo ndani ya shimo la hewa,anyway au majukumu yamezidi.....
  3. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Au kwasababu elimu yetu kwenye historia wanafundisha kwamba,Livingstone aligundua Lake Victoria 😀
  4. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Wazungu pia ndiyo wamefuta civilization iliyofanyika Africans kabla ya wao, mengi yalikuwepo Ethiopia,West Africa huko mfano wa Mali empire
  5. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Malisa: Polisi hawajatuachia kwa dhamana kama walivyosema, wala sijahojiwa kwa tuhuma za jinai

    Malisa amenishangaza sana kurudi Tz kwa mazingira haya
  6. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

    Angalau MANGE taarifa zake ziko serious na ni mara chache huwa analeta taarifa zisizo sahihi ukilinganisha na MARIA ,ambaye kwa siku anaweza kupost mara kadhaa,hata story zake zingine ni za kitoto sana
  7. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Duuh hii ngumu kumeza
  8. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Peter Msigwa Amlipua Rais Samia na CCM; Asema Utawala Unatengeneza Maadui na Hofu Nchini

    Daah kumuamini mtu kama Pierre inahitaji ujasiri sana
  9. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Heche: Muulizeni Mbowe viongozi wa CHADEMA wasingemtembelea gerezani angejisikiaje?’

    Mkuu hili ndiyo kosa kubwa linalofanyika kwa wengi mnaojiita wazalendo, kumbe ni kichaka cha kutafuta maslahi, sasa kama unatafuta nchi ili nawewe uje kuua, unatofauti gani na unayemlalamikia leo?
  10. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo Cha kifo Cha mpishi wa Emmanuel nchimbi wiki iliyopita?

    Mmh hii ilinipita
  11. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Combo ilikuwa imekataa tangu kick off
  12. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Mangungu lazima abaki Simba sports Club

    Ngungu boy alindwe kwa wivu mkubwa
  13. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Nahitaji 260,000k Tarehe 18 mwezi huu naombeni kazi au mchongo mpaka tarehe hiyo niwe nimepata hiyo hela

    Nimeona nikajua mm ndiyo siko well informed na hako ka K
Back
Top Bottom