Hakika naomba iwe hivyo piaMashaAllah 🤗
Endelea hivyo hivyo
Heh alooooo 😳Dem wangu alivojifungua nikachit nikapata na malipo ya gono na ARV za siku 28 kiroho safii kabisa....
Cheating yenyewe tu ni mbaya ila ulishindwa hata kutumia condom???Dem wangu alivojifungua nikachit nikapata na malipo ya gono na ARV za siku 28 kiroho safii kabisa....
Sina uzoefuMleta mada tupe uzoefu wako kwanza.
Kwahiyo unataka kusema je 😅Ukipata mtu type zako ndio zinaanza kuonekana
Aiseeeeh! ?Aiseeeh!
LocationLeo nimevaa hiyo tyt na T-shirt nyeupe njoo utanikuta.
Nimekuja kushushia machungu 😅
Mpaka nivae kondom akighairiCheating yenyewe tu ni mbaya ila ulishindwa hata kutumia condom???
Hivi ukikubaliana na mtu kwamba "mnachezeana" tu halafu akadai unamsaliti baada ya kukuona na mwingine, ni halali?Sina uzoefu MUONGO.
Vp wewe?
Kwahiyo unatafuta Pesa? UnajiuzaKuna wimbo wa Mr Blue sijui kama sikosei
Unaitwa Pesa.
Umewahi kuusikia
Heh aiseeCheaters prayer
Inaonekana una uzoefu wa kutosha eneo hiliMahusiano mengi yanalindwa kutoka nje.
Kula mali mpya kuna raha yake bn, yanini kuwekeana sheria nikila yako nisile nyingine.
Wanawake wanatofautina sana kuna kila aina ya maumbo wanene, wembamba, warefu, wafupi, watamu, kuna wanaojua kuitenga vizuri, kuna wanaojua kukulana, kuna mwingine mwingine uki......
Hivi najibu swali au najiandikiaa tu?
Narudi ngoja niwahi biriani mahali.
Niombee tu nisije jishindilia juice ya zabibu kutoka Idodomiya nikasahau simu.Inaonekana una uzoefu wa kutosha eneo hili
Ukirudi njoo na faida na hasara kabla hatujachukua ushauri wako
Abeee!Aiseeeeh! ?
Umem cheat babu?
Makubaliano yenu yapo vipi ?Hivi ukikubaliana na mtu kwamba "mnachezeana" tu halafu akadai unamsaliti baada ya kukuona na mwingine, ni halali?
Uzuri we mambo yako kimya kimya, endelea kuwaficha hao wastaafu wako wenye vipara.Aiseeeh!