kwakweli huyu Joyce ni mwanamke mpumbavu sana, watu wanamatatizo kwenye ndoa zao kibao lkn wanayamaliza huko kimya kimya, wewe umejidhalilisha sana, umewaabisha wazazi wako na familia yako yote kwa ujumla, utaweka wapi sura yako hajalishi umepatana na mumeo au mmeachana, utatembeaje kwa jamii...