Recent content by Chric_apple

  1. C

    Msaada: Mke wangu amekuwa chizi baada ya kutumia PEP

    Na hii ilikua ni mara yake ya kwanza kutumia PEP?!
  2. C

    Travelholic (wanaopenda kusafiri) na adventurers tukutane hapa

    Nafikir mim pia ni Travelholic juz kat disemba nimepiga route ambayo nafikir sitasafir for four months yan sina ham! Nlitoka Dar to kigoma via dom, manyoni tabora then kasulu nikala pozi mjin kasulu then nikaanza kuitafuta mwanza kupitia kakonko, kibondo, nyakanazi, geita then mwanza duh...
  3. C

    Huu mwaka unaisha fanya maajabu ya Ndege tai ujachelewa!

    Mi siyo mjuvi sana ila nakumbuka kuna kitu kinaitwa hibernation ambacho wanyama/ndege huweza kupitia... Mfano vyura wengi kipind cha kiangaz hujificha chin ya ardhi kabisa, ko unaweza jiuliza katika kipindi hicho wanakula nin?! Ninachojua katika kipind hiki hupunguza rate of metabolism kias...
  4. C

    Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

    I was luck, wakat naenda kuripot form five mzee alinisindikiza na gari ya ofisin kwake (STK) ile kufika tu shule sa 11 jion nikakuta wajomba wako parade basi nikasushwa pale kila mtu akaniona, ile STK ikamchanganya jamaa m1 akanipokea akanipeleka bweni moja la'kisure sana tulikua tunaliita UN...
  5. C

    Biashara ya vanilla na hiriki

    Nimewah tembelea baadhi wakulima wa iliki, sidhan kama utawapata Jf, apa utapata mtu kat
  6. C

    Tcra Tunahitaji Local Channels kwa Gharama Yeyote

    Natumai kuna namna azam atakua anapambana kupata leseni ya kurusha izo local contents 'nawaza kwa saut'! Et nae startimes amepandisha bei visimbus vyake, my friend i'll better buy dstv
  7. C

    Lipi jiji zuri kati ya Mbeya na Tanga?

    Nimekuwepo sehem zote, Mbeya is the best, mji uko busy na kumechangamka ingawa ni kweli kuna baadh ya maeneo mpangilio wa makaz siyo mazur ila tanga inabebwa na uwepo wa bahar tu unless hamna kitu
  8. C

    Kwanini hairuhusiwi kupiga picha bwawa la Mtera?

    Mkuu naomba ongeza nyama kwe hiyo miale ya carbonhydrate sijawah kuisikia, na benki kuu mbeya kuna katazo la kupiga picha, vip nao watakua wanahofia hii miale??
  9. C

    AliExpress, Alibaba or eBay etc.

    Noted... Nimetumia china post ni zaid ya mwezi sasa sijapokea mzigo mpaka nishasahau
  10. C

    JamiiForums Usiku wa manane

    Umenikumbusha enz za ujana kuna jamaa ang kila tukirud kutoka kiwanja ata kama ni saa tisa usiku lazima aingie jikon kutoa kitu [emoji28]! Sa sijui ndo pombe au
  11. C

    JamiiForums Usiku wa manane

    Kuna kila dalili ya hili lindo kunidodea! Ngoja nitafute namna hapa
  12. C

    JamiiForums Usiku wa manane

    Kukabidhiana muhim mkuu...usiliache waz nikabidh
  13. C

    Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

    [emoji28][emoji28] ko shemeji akiwa na haja na viwil en above hua unamsaidia mshkj?!
  14. C

    Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

    Mh! Same bed unapiga viwil na jamaa hajashtuka? Au alizimia [emoji38]! Nakawia kuelewa
  15. C

    Ni nadra sana kukuta mdada mrembo mwenye msimamo kama huyu kwa bongo

    [emoji23][emoji23][emoji23] avatar plus namna anavo jibu, ananiacha hoi sana!! kila nikiona avatar siachi kucheka...matunduiz bana
Back
Top Bottom