the great wizard
JF-Expert Member
- Dec 21, 2015
- 1,482
- 894
siku kumi tuu boss
dah umewahi sana, naskilizia mzigo wangu na mimi
siku kumi tuu boss
Anhaa Carrier umemtumia yupi??
kwenye option za kutuma chagua aliexpress standard shipping wana chaji kidogo ukitumia china post utasubiria karibia mwezi mzigo ufike.
unategemea na liseller hakufikishie wapi mfano DHL,tanzania posta hiyo kama kupitia sanduku lako laposta njia ya mizigo na mawakala ambao wapo katika nchi aliyopo huyo muuzaji na nchi yako,ukitaka kujua mengi pm
aliexpress standard shipping, Singapore PostAnhaa Carrier umemtumia yupi??
Hapo seller labda achelewe yeye tu..ila hao jamaa wako fastaaliexpress standard shipping, Singapore Post
Naona tangu juzi seller alishatuma ndani ya wiki kama mbili hivi mzigo utakuwa nchiniHapo seller labda achelewe yeye tu..ila hao jamaa wako fasta
Naona tangu juzi seller alishatuma ndani ya wiki kama mbili hivi mzigo utakuwa nchini
View attachment 912613
Yeah wiki kama mbili hiviSoon mzgo utaupata basi
kwenye tracking wanaonyesha upo hatua gani?Noted... Nimetumia china post ni zaid ya mwezi sasa sijapokea mzigo mpaka nishasahau
Lazma uwe na account na card uwe nayoWadau,Hivi unaweza kununu bidhaa mtandaoni bila ya kuwa na smartcard wala account ebay?
kwa sasa sio mpaka uende au uwe na card ya banc but mpesa wanaweza kukupa virtual master card na ukafanya online purchases bila shidaLazma uwe na account na card uwe nayo
kwa sasa sio mpaka uende au uwe na card ya banc but mpesa wanaweza kukupa virtual master card na ukafanya online purchases bila shida
Hii ikoje mkuu,nieleweshwe zaidikwa sasa sio mpaka uende au uwe na card ya banc but mpesa wanaweza kukupa virtual master card na ukafanya online purchases bila shida
Vodacom kwa ushirikiano na MasterCard® na BancABC imekuletea kadi ya kwanza na ya pekee nchini Tanzania ambayo inakuwezesha kununua bidhaa na huduma kutoka kwa wafanyabiashara duniani kote kupitia M-Pesa. M-Pesa Mastercard inakuwezesha kulipa huduma, bidhaa, Programu, hoteli ya hoteli au kusafiri, maudhui ya digital nk kutoka kwa wauzaji wa mtandaoni ulimwenguni pote ambao wanakubali malipo kutoka kwa Mastercard.Hii ikoje mkuu,nieleweshwe zaidi
Nashukuru sana mkuu,Jf udumu zaidVodacom kwa ushirikiano na MasterCardna BancABC imekuletea kadi ya kwanza na ya pekee nchini Tanzania ambayo inakuwezesha kununua bidhaa na huduma kutoka kwa wafanyabiashara duniani kote kupitia M-Pesa. M-Pesa Mastercard inakuwezesha kulipa huduma, bidhaa, Programu, hoteli ya hoteli au kusafiri, maudhui ya digital nk kutoka kwa wauzaji wa mtandaoni ulimwenguni pote ambao wanakubali malipo kutoka kwa Mastercard.
How To Pay By M-Pesa Mastercard
Baada ya kufanya uchaguzi wa bidhaa unayotaka kutoka kwenye tovuti fulani mtandaoni, pitia kupitia na chaguo chaguo la malipo ya Mastercard, ili kufanya malipo yako kufuata hatua zifuatazo: -
Piga * 150 * 00 # Chagua Kulipa kwa M-Pesa
Chagua M-Pesa Mastercard
Chagua Kuunda kadi
Utapokea SMS na namba yako ya kadi na CVV pamoja na tarehe ya kumalizika kwa kadi yako.
Hiyo ni habari zote utakayohitajika kukamilisha malipo yako mtandaoni. Jaza kwa makini maelezo yako kwenye tovuti fulani. Utapata ujumbe wa kuthibitisha kwamba malipo yako yamefanikiwa.
kwa maelezo zaidi https://vodacom.co.tz/en/mpesa_mastercard_payment
Pamoja mkuuNashukuru sana mkuu,Jf udumu zaid