Tangu chukua chako mapema .ccm.watawale watu weng wanashindwa kuwa wakwel.ni kwamba hk chama kinaubaguz,manake kama wewe upo kwenye system bas huwez kumbuka wengne,bora chadem ipate nch then ikosee tuone.
Lulu kwa mara ya mwisho cm yake alikuwa anaongea na mweshimiwa ndipo mkasa ukampa.sasa watelegencia wanashindwa kuamua kitu kwa sababu kesi imekaa pabaya.
Kila m2 anaitaj ulaj,ccm wamekuwa wajanja sana kwenye inshu yote ya bunge.kumbe wazir mkuu ameshajipanga.alipopata tarifa hyo toka kwa usalama wake,amejiandaa na kujipanga kupambana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.