peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
naona hoja yako ni kulishambulia mwanahalisi, na si zaidi ya hapo.Kwa sasa limekubalika na lina soko la kutosha ukilinganisha na nakala zinazotoka kila wiki.
Fanya utafiti kati ya magazeti yanayochapishwa kwa kila wiki lipi linauza nakala nyingi zaidi.Acha biashara ya kuponda bila utafiti.
Fanya utafiti kati ya magazeti yanayochapishwa kwa kila wiki lipi linauza nakala nyingi zaidi.Acha biashara ya kuponda bila utafiti.