Recent content by chovuga

  1. chovuga

    Hivi Rais Magufuli alifanya maamuzi ya busara kwa kuwaita Wakuu wa Vyombo vya Usalama kuongelea COVID19, badala ya kuwaita Wataalamu wa Afya?

    Labda corona ingekua TZ peke yake ningeunga mkono haya uyasemayo Sent using Jamii Forums mobile app
  2. chovuga

    Namna Biashara ya 'Network Marketing' ilivyonipeleka Polisi

    Mkuu pole sana, ila umenichekesha sana Sent using Jamii Forums mobile app
  3. chovuga

    Shule za Kiislam zinatia aibu kitaaluma, BAKWATA mnastahili kulaumiwa

    Dah! Dada unaroho mbaya sana wewe, na ukute mtu kama wewe waislamu wanakupa heshima kwenye mihadhara yenu unapewa Mike unawajaza ujinga wenzio wanaendelea kuwa mambumbumbu. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. chovuga

    Mabwana na mabibi afya majukumu yao ni yapi?

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] kweli kabisa mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. chovuga

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    PSG tunawasalimia sana..... Sent using Jamii Forums mobile app
  6. chovuga

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] pole sana mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. chovuga

    Gwajima hakukosea juu ya kauli yake kuhusu uislamu huko Marekani

    mechanism iliyopo ni kwamba elim ya mzungu ikisha kuingia kichwani inakubadilisha kimawazo na mtazamo na kabla mtu hajafikilia kuzaa watoto wengi kwaajili ya kuujenga uislam atawaza kujenga standard ya maisha yake binafsi na familia yake Sent using Jamii Forums mobile app
  8. chovuga

    Gwajima hakukosea juu ya kauli yake kuhusu uislamu huko Marekani

    sio kwamba hawato kuepo kabisa wakuoa wake wengi na hao wachache watotozao kwakua watasoma vizur hawatoiga tabia ya baba zao ya kuoa wengi so taratibu huo utaratibu utakufa kupitia elimu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. chovuga

    Gwajima hakukosea juu ya kauli yake kuhusu uislamu huko Marekani

    unafikili wakisha soma na kuelimika bado watakua na hayo mawazo ya kuoa wake 4 na kuzaa watoto wengi? huijui elimu wewe, kama wanataka hilo lengo lao la kuwa wengi litimie waache kwenda shule wasome madrasa tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. chovuga

    Mkurugenzi mkuu SSRA: Kiuhalisia michango yote ya mstaafu ni 20% ya mshahara wake so 25% inampa ziada ya 5%

    we nae tutokee hapa unajifanya kujua kumbe mbulura mmoja tu.
  11. chovuga

    Je! Kuvuta Sigara ni Dhambi?

    tumsifu YESU KRISTU mkuu.
  12. chovuga

    Utamaduni wa Kusagana kwa Wanawake: Namna ulivyopenyezwa/Kuenea Afrika na sababu kadhaa za kuenea kwake Tanzania

    mwalimu kavaa msuli bila boxer, mwanafunzi kavaa kanzu bila boxer, kigoli anahimizwa kutunza bikra ya mbele nyuma ruksa kuliwa, mabinti wanakua viharage vinaanza kuwawasha wanaamua kukunana wenyewe ili kulinda bk. wasenge na wasagaji ndio wanatoka huko.
  13. chovuga

    Japokuwa ni Wakatoliki wenzangu Nashindwa kukielewa Hiki Chama cha Kitume..

    kwahiyo hadisi yako inatufundisha nini sasa!!!!?
  14. chovuga

    Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

    mkuu nawe ulikuepo nn!!!
  15. chovuga

    Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

    hatari mkuu ni mazuri kusimuliwa ila huo usiku ulikua ni wa shida sana, shule ina hadi walemavu wa ngozi, wasiona, na viwete lakin hawa jamaa ffu walivyofika skonga hawakua wanaangalia sura ni kichapo tu bwenini hakubaki mtu tulikutana aubuh kila mmoja akitokea anakojua yeye.
Back
Top Bottom