Jackline Bahath
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 681
- 627
๐๐๐๐๐๐Siku ya kwanza nafika kidato cha 5 nikapokewa na watoto wa olevel wakanifikisha kwe bweni nililopangiwa sababu hiyo shule ilikua unapangwa kabla hata hujareport, nimefika tu nikatoa malapa nikaoge nabadili nguo kugeuka hamna malapa wala ndoo vyote vimeibiwa nilichukia shule mpaka nikaomba uhamisho