It does not make sense to me, kutuwekea maisha binafsi ya mzee Mtei, ili kiwe nini?? Kama chadema itashinda Mtei anaingia wapi katika serikali yao, maana hagombei ubunge kwa hivi hawezi kuwa wazili,so to say hawezi kuingia ktk balaza la Mawaziri,kwa umri uliomtaja simuoni hata akiingia bungeni...