Nadhani anamaanisha by implication hana evidence. It is a political game
Upupu mtupu, unaongelea kodi? Unajuwa kuwa kwa miaka yote kabla ya Kikwete kodi inayokusanywa haikuchangia hata hamsini kwa mia ya bajeti yetu? Tumeona wakati wa Kikwete hali hiyo ikipanda hadi kufikia kuwa sasa tunachangia asilimia sitini ya bajeti yetu kama si zaidi. Tena kupunguka, bajeti imepanda maradufu! Au hilo hulioni?
Huyu Silaa anatafuta kuanzisha choko-choko za uvunjifu wa amani, kila analosema linaashiria kuwa si mwana-siasa bali ni limbukeni na sasa kapata sehemu ya malimbukeni wenzake nao wanamsikiliza bila kuhoji wala kupima. Akumbuke, hatuta ona amani ya Tanzania inavunjika kwa mtazamo wake hasi. Kama ana ushahidi wa hayo si apeleke bungeni na kama hana ushahidi na anaongea pumba ajuwe ndio mwanzo wa mwisho wa fitina zake. Atashughulikiwa kisheria.
Walisha kuwepo watu wa kanisa wenye choko choko kama yeye, mfano ni Mtikila, huyu kwisha nyamazishwa. Sasa huyu hayaoni hayo, na yeye inapaswa sasa anyamazishwe kama mtikila. Na hivyo ndivyo itavokuwa maana kushindwa kwake kura sasa analeta chokochoko.
This is disgusting!! Hivi mtaacha lini huu upuuzi wa uvunjifu wa amani? Sasa mvunja amani hapa ni yupi mwizi anayetuibia au anayepiga ukunga kutuonyesha mwizi wetu ni yupi? Ebu use your common sense !! does it make sense to you mtu mpaka leo kukwambia serikali haijui Kagoda ni nani lakini inakubali kuwa BOT ilitoka billioni 40? Zilikwenda kwa nani ati serikali haijui!! wanasema hawajui mmiliki wa DOWANS na RICHMOND lakini leo wanasema tuwalipe sasa tunamlipa nani? Kwa maana hiyo anachosema Dr. Slaa kina matinki this is an open secret!! Kama wanasema hawajui wamiliki na kama wamiliki siyo wezi ambao dhamira zao zinawasuta au kwa sababu ya public office wanazokalia sasa , kwa nini wasijitokeze waziwazi!! hivi wanaona aibu gani kama walifanya a genuine investment wakaagiza mitabo genuinely leo hii kwa nini tuwe tunazungumza na vivuli? why mtu asisimame na akatwambia kuwa hii ni mradi wangu halali na hivi ndivyo nilivyofanya na TANESCO wakanifanyia huuni nami nikaenda mahakamani bra bra.. sidhani kuwa ni kosa la jinai kusema wewe ni investor!! sasa kwa nini wamiliki wanakuwa siri ? Jibu ni rahisi ama ni wezi wanaoona aibu kuja adharani au ni mradi wa wakubwa ambao kwa nyadhifa zoa serikalini zinawafanya wasijitokeze ,hivyo basi Dr Slaa kuwataja siyo uvunjifu wa amani bali hao wezi wanaofanya wizi wa makusudi ndiyo wanataka kuvunja amani ya Tanzania .HUWEZI KUWA NA AMANI KAMA HAKUNA USAWA NA HAKI.
Upupu mtupu, unaongelea kodi? Unajuwa kuwa kwa miaka yote kabla ya Kikwete kodi inayokusanywa haikuchangia hata hamsini kwa mia ya bajeti yetu? Tumeona wakati wa Kikwete hali hiyo ikipanda hadi kufikia kuwa sasa tunachangia asilimia sitini ya bajeti yetu kama si zaidi. Tena kupunguka, bajeti imepanda maradufu! Au hilo hulioni?
Huyu Silaa anatafuta kuanzisha choko-choko za uvunjifu wa amani, kila analosema linaashiria kuwa si mwana-siasa bali ni limbukeni na sasa kapata sehemu ya malimbukeni wenzake nao wanamsikiliza bila kuhoji wala kupima. Akumbuke, hatuta ona amani ya Tanzania inavunjika kwa mtazamo wake hasi. Kama ana ushahidi wa hayo si apeleke bungeni na kama hana ushahidi na anaongea pumba ajuwe ndio mwanzo wa mwisho wa fitina zake. Atashughulikiwa kisheria.
Walisha kuwepo watu wa kanisa wenye choko choko kama yeye, mfano ni Mtikila, huyu kwisha nyamazishwa. Sasa huyu hayaoni hayo, na yeye inapaswa sasa anyamazishwe kama mtikila. Na hivyo ndivyo itavokuwa maana kushindwa kwake kura sasa analeta chokochoko.
This is disgusting!! Hivi mtaacha lini huu upuuzi wa uvunjifu wa amani? Sasa mvunja amani hapa ni yupi mwizi anayetuibia au anayepiga ukunga kutuonyesha mwizi wetu ni yupi? Ebu use your common sense !! does it make sense to you mtu mpaka leo kukwambia serikali haijui Kagoda ni nani lakini inakubali kuwa BOT ilitoka billioni 40? Zilikwenda kwa nani ati serikali haijui!! wanasema hawajui mmiliki wa DOWANS na RICHMOND lakini leo wanasema tuwalipe sasa tunamlipa nani? Kwa maana hiyo anachosema Dr. Slaa kina matinki this is an open secret!! Kama wanasema hawajui wamiliki na kama wamiliki siyo wezi ambao dhamira zao zinawasuta au kwa sababu ya public office wanazokalia sasa , kwa nini wasijitokeze waziwazi!! hivi wanaona aibu gani kama walifanya a genuine investment wakaagiza mitabo genuinely leo hii kwa nini tuwe tunazungumza na vivuli? why mtu asisimame na akatwambia kuwa hii ni mradi wangu halali na hivi ndivyo nilivyofanya na TANESCO wakanifanyia huuni nami nikaenda mahakamani bra bra.. sidhani kuwa ni kosa la jinai kusema wewe ni investor!! sasa kwa nini wamiliki wanakuwa siri ? Jibu ni rahisi ama ni wezi wanaoona aibu kuja adharani au ni mradi wa wakubwa ambao kwa nyadhifa zoa serikalini zinawafanya wasijitokeze ,hivyo basi Dr Slaa kuwataja siyo uvunjifu wa amani bali hao wezi wanaofanya wizi wa makusudi ndiyo wanataka kuvunja amani ya Tanzania .HUWEZI KUWA NA AMANI KAMA HAKUNA USAWA NA HAKI.
Whatever it is! this is a starting point.. you never know some people might bring evidence, but is a good start.... we shake him , others will fall down!
Upupu mtupu, unaongelea kodi? Unajuwa kuwa kwa miaka yote kabla ya Kikwete kodi inayokusanywa haikuchangia hata hamsini kwa mia ya bajeti yetu? Tumeona wakati wa Kikwete hali hiyo ikipanda hadi kufikia kuwa sasa tunachangia asilimia sitini ya bajeti yetu kama si zaidi. Tena kupunguka, bajeti imepanda maradufu! Au hilo hulioni?
Huyu Silaa anatafuta kuanzisha choko-choko za uvunjifu wa amani, kila analosema linaashiria kuwa si mwana-siasa bali ni limbukeni na sasa kapata sehemu ya malimbukeni wenzake nao wanamsikiliza bila kuhoji wala kupima. Akumbuke, hatuta ona amani ya Tanzania inavunjika kwa mtazamo wake hasi. Kama ana ushahidi wa hayo si apeleke bungeni na kama hana ushahidi na anaongea pumba ajuwe ndio mwanzo wa mwisho wa fitina zake. Atashughulikiwa kisheria.
Walisha kuwepo watu wa kanisa wenye choko choko kama yeye, mfano ni Mtikila, huyu kwisha nyamazishwa. Sasa huyu hayaoni hayo, na yeye inapaswa sasa anyamazishwe kama mtikila. Na hivyo ndivyo itavokuwa maana kushindwa kwake kura sasa analeta chokochoko.
unavyotamka bila kufikiria utadhani hulipi kodi.kama unalipa kodi then inabidi ujumuike ktk harakati maana kodi yako pia imo ktk mabilioni yanayotafunwa na hao dowans wasiojulikana hata walipo......"Daah jk raia 2mekukosea nini mpaka umefikia huko?"!!!
Wanafika lakni ili wabunge wa CCM waiunge mkono ni lazima ipate msukumo wa wapigakura..................wananchi wakianza kudai maandamano ya kumng'oa JK itafika wakati hata wabunge karibu wote wataiunga mkono hoja hiyo..................na hapo Jk atalazimika kujiuzulu mwenyewe...........Nionavyo mimi huko ndiko tunakoelekea............
Nchii haiwezi kuvumilia ufisadi mkubwa ambao JK anauendesha....itafika mahali itabidi hili zigo tulitue tu hatuna namna..............na haitachukua miaka miwili kuanzia sasa.............
Hamna sababu ya kusubiri CCM waunge mkono ni kupeleka hoja then waikatae, wakiikataa tunapeleka kwa wananchi, ila hofu yangu ni CCM -B watakubali?
Teh Teh Teh..........Umebaki peke yako tu. Wenzako wote washachoka kubeba zigo la m.a.v.i
Upupu mtupu, unaongelea kodi? Unajuwa kuwa kwa miaka yote kabla ya Kikwete kodi inayokusanywa haikuchangia hata hamsini kwa mia ya bajeti yetu? Tumeona wakati wa Kikwete hali hiyo ikipanda hadi kufikia kuwa sasa tunachangia asilimia sitini ya bajeti yetu kama si zaidi. Tena kupunguka, bajeti imepanda maradufu! Au hilo hulioni?
Huyu Silaa anatafuta kuanzisha choko-choko za uvunjifu wa amani, kila analosema linaashiria kuwa si mwana-siasa bali ni limbukeni na sasa kapata sehemu ya malimbukeni wenzake nao wanamsikiliza bila kuhoji wala kupima. Akumbuke, hatuta ona amani ya Tanzania inavunjika kwa mtazamo wake hasi. Kama ana ushahidi wa hayo si apeleke bungeni na kama hana ushahidi na anaongea pumba ajuwe ndio mwanzo wa mwisho wa fitina zake. Atashughulikiwa kisheria.
Walisha kuwepo watu wa kanisa wenye choko choko kama yeye, mfano ni Mtikila, huyu kwisha nyamazishwa. Sasa huyu hayaoni hayo, na yeye inapaswa sasa anyamazishwe kama mtikila. Na hivyo ndivyo itavokuwa maana kushindwa kwake kura sasa analeta chokochoko.