Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Unajua hili suala siyo kubwa wala gumu kiasi hicho; ninaamini mzigo wa jinsi gani litaisha ni kwa CCM. Wasipotumia hekima wanaweza kutengeneza mashujaa wengine tena wengi zaidi. Walipomfungia Zitto kwenye Buzwagi lilikuwa dogo kwenye hili itakuwa vurugu sana.