kiingereza ni lugha tu kama kiswahili, kimatengo, kihehe, kizaramo na nyinginezo nyingi! sio lazima ujue kiingereza kuonyesha taaluma yako, kuna watu wana shule ndefu tu duniani na hawajui kiingereza mfano wachina, wajapani, waarabu, wafaransa, tembelea scandinavian countries, huko kote kuna...