Recent content by Choi

  1. C

    Madudu ya wahitimu vyuo vikuu.

    kiingereza ni lugha tu kama kiswahili, kimatengo, kihehe, kizaramo na nyinginezo nyingi! sio lazima ujue kiingereza kuonyesha taaluma yako, kuna watu wana shule ndefu tu duniani na hawajui kiingereza mfano wachina, wajapani, waarabu, wafaransa, tembelea scandinavian countries, huko kote kuna...
  2. C

    Tuipe CCM Tena 2015!!!

    kama tu malalamiko yetu tutayaweka kwenye vitendo badala ya maneno matupu
  3. C

    natafuta mchumba mimi mwanamke(seriosly relationship)

    sasa mimi nimeangalia alivyo spell umri na mkristo nikapata wasiwasi na hiyo elimu yake, maana hata mtoto wa darasa la pili asingekosea
  4. C

    Orodha ya Aibu ya Mafisadi, Hoja ya Zitto, hatima ya Tanzania, tuko hatarini

    lakini hata sisi tunalalmika weeee, kulalamika hakutatusaidia!
  5. C

    Vurugu za Mbagala ni zaidi ya mnachokifahamu - Oh Tanzania!

    YESU wetu hapiganiwi anajipigania mwenyewe. Ukiona unaanza kumpigania Mungu wako inabidi ujiulize yeye anaweza nini
  6. C

    Nimechanganyikiwa 4 real...

    pengine umri utumike kama kigezo cha kujiunga humu
  7. C

    Nguo ya ondani ya mwanamke ina thamani sana

    sasa hata ukiwa na kioo makalioni unajionaje? pengine hata hajui kama hiyo nguo inaangaza hivyo! musimfikirie vibaya!
  8. C

    In China, cheap and cheerful phones outsmart Apple

    mimi nikisikia tu simu ya mchina naiogopa! what about its durability compared to iphone 4s?
  9. C

    Mahali kumi pa kutembelea tanzania kabla hujafa

    ukienda huko hurudi!
  10. C

    CCM yawakaanga Bashe, Kigwangalla

    CCM kazi yao kufukia maovu! na mafisadi walianza kidogo kidogo kama hivi, waaache sheria ichukue mkondo wake, ili liwe fundisho!
  11. C

    Lowassa: Mkapa alikuza uchumi, JK punguza matumizi

    mimi sio mtaalamu wa uchumi, lakini siku moja nilikwa nikiongea na rafiki zangu wanaosomea uchumi wakaniambia hakuna nchi duniani iliyoendelea kwa kutegemea kilimo! nchi zote zinaendelea kwa kutegemea mapinduzi ya viwanda! wachumi mliopo hapa jamnvini mtujuze zaidi
Back
Top Bottom