Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
At least the old man should show some respect to his daughters. Its typical non-African to utter such remarks concerning his daughters, a fact he cannot deny.
Hivi wasira kutoa kauli kama hiyo dhidi watoto wa kaka yake wa tumbo mmoja tena ambaye inasemekana (sina uhakika) kaka yake Gorge Wasira ndo aliyemsadia sana steven wasira mwenyewe inajenga picha gani kwake na kwa jamii inayomzunguka? Ni aibu kwa familia yao, wapiga kura, ukoo wake na watz kwa ujumla. Anasaidia kuiua ccm.