sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,980
- 4,986
Siioni kwanini Uongozi wa CCM Mkoani au Wilayani wanajiingiza au kutoa matamko ya kuhusu watunisha misuri wawili,wakati swala lenyewe liko polisi.Wakati mwingine kama huna la kusema bora kuunganisha bongo kabla ya kufungua mdomo.Wamejidhalirisha wenyewe,familia zao,chama chao,na serikali yao.Aibu tupu.