Recent content by Chogoo

  1. Chogoo

    Baada ya mkwanja wa TIGO kuota mbawa je ,ndoa ndo imeyeyuka?

    Kwani ww walikwambia wanafunga ndoa, lin mkuu
  2. Chogoo

    Mataabiko ya kimaisha anayopata msaliti baada ya usaliti! Mtendwa

    Mkuu siku yake yakulia na kusaga meno bado haijafika, malipo ni hapa hapa duniani
  3. Chogoo

    Changamoto, makwazo ya ndoa/ mahusiano.. Visizime ndoto zako

    Kweli mkuu yani hapa umenilenga kabisa
  4. Chogoo

    Ushauri: Wazazi hawataki mwanamke abadili dini, wananiita 'kafiri'

    Sasa ww unachotaka nn, kila ushauri utaki
  5. Chogoo

    Kakobe alitumwa?

    Wejamaa utakuwa ni mtoto wa polepole sio bule
  6. Chogoo

    Rafiki yangu ana tatizo sugu la uume kusinyaa

    Muulize vizuri kama ametembea na mke wa mtu mwenye Mali atakuwa amemtengeneza, kama hajawai kutembea na mke wa mtu basi nijini mahaba linamsumbua
  7. Chogoo

    Ni aibu kiongozi wa dini kuitupa injili na kutumika kisiasa

    Wejamaa utakuwa mkongo, sio bule
  8. Chogoo

    Manabii wasifumbiwe macho wanapotukana mamlaka

    Hivi polepole hajamsikia kakobe?
  9. Chogoo

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa DSM amtolea Uvivu Zakaria Kakobe

    Na wewe ongea kama kakobe, watu wakukumbuke
  10. Chogoo

    USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

    Pole sana mkuu mungu azidi kukupigania
  11. Chogoo

    Nahitaji Faraja Moyo wangu Unateketea.

    Angalia ndugu yangu, usije jinyonga
  12. Chogoo

    Wanawake Wenye Shepu Nzuri Wana Sura Mbaya

    Ili lina ukweli mkuu mimwenye nadem anasuru mbaya lakini shepu sasa ni balaa
  13. Chogoo

    Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

    Kwel kabisa huo ndio uanaume sasa, show zaivo uwanazipenda kinoma
Back
Top Bottom