Recent content by chogobilo

  1. C

    Tanzania's premier real estate exhibition 2017

    where and when shall it be held?
  2. C

    Siku ya kwanza kupiga punyeto(masturbation)

    Hii ni ushahidi kuwa mitihani ya kidato cha sita imekwisha malizika
  3. C

    CHADEMA kwenda Ikulu kiulaini 2020

    Mwaka 2015 mlisema saa nne tu mtakuwa mmemaliza kila kitu,acheni cheap politics mtapata presha buree,jipangeni kwa hoja mtashindwa vibaya sana
  4. C

    Morogoro: chumba cha biashara & uwanja wa makazi vinatafutwa!!!!!

    Wasiliana nao tu ni wazuri sana mimi wamenifanikishia vizuri kabisa labda ulikuwa na haraka sana,jamaa hawababaishi ni mpaka wajiridhishe mf uhalali wa kiwanja,nk lakini bei zao ziko chini sana,kiufupi mimi nilipelekwa na jamaa mmoja hivi ambaye naye walimsaidia vizuri kiufupi hawa jamaa...
  5. C

    Morogoro: chumba cha biashara & uwanja wa makazi vinatafutwa!!!!!

    Wasiliana na hawa jamaa watakusaidia sana kama hutajali Munyu Real Estate Agency Jengo la Pamba Ofisi namba 16 Morogoro,Tanzania Tembelea hapa utaona mawasiliano yao www.munyuestate.com
  6. C

    Toyota Cresta exceed inahitajika

    kupatana nimeangalia ndo maana nimekuja hapa
  7. C

    Toyota Cresta exceed inahitajika

    Kichwa cha habari chahusika,kwa mwana jf mwenye Toyota Cresta Exceed iliyo kwenye hali nzuri namaanisha: ina mileage zinazorishisha,kuanzia namba B,nyeupe/cream/silver ani pm tufanye biashara fasta,Iwe inapatikana Morogoro,Pwani au Dar Fasta tufanye biashara Nawasilisha
  8. C

    Diamond Platnumz anawadanganya wafuasi wake eti wimbo wake unaongoza UK!

    Hata Ukerewe ni UK ama [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
  9. C

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Sisi wenye nyumba huleta nyumba zao ofisini kwetu,wanatupa terms na conditions zao kisha sisi tunakuwa na jukumu la kupangisha. Hivyo mtu akiwa anahitaji nyumba ile anayoitaka huwa kuna form maalum anajaza inakuwa ni kazi kwetu kumpeleka kwenye nyumba ambayo yeye anapenda Pia huwa tuna usafiri...
  10. C

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Sisi ni madalali lakini si kama hao uliowazoea,tunaenda straight kwenye nyumba unayoihitaji,pia utalipia 75% ya kodi ya mwezi mmoja kama kamisheni Karibu sana
  11. C

    Kikiiva utakula?? ????

    Mahonda unazingua
  12. C

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Kama unahitaji nyumba ya kupanga bia usumbufu na kwa gharama nafuu mkoani Morogoro Wasiliana nasi: Munyu Real Estate Agency Jengo la Pamba Ofisi namba 16 Morogoro,Tanzania. Facebook:Munyu Real Estate Agency Instagram:Munyurealestateagency Karibuni sana
  13. C

    Wazungu wakija bongo huchukua wasichana tunaowaona wabaya

    umechukuliwa dada yako unayemuona mbayaaaaaa au
Back
Top Bottom