Haya wenye habari za uhakika tusaidiane hapa,
1. Kinatafutwa chumba kidogo cha kupangisha kwa ajilk ya biashara maeneo: kwa chambo, maghorofani, nane nane, au pengine penye makutanio ya watu wa aina zote
2. Kinatafutwa kiwanja kwa ajili ya makazi, maeneo ya mkundi, lukobe, chingolwila, lukobe, ama popote...
3. Vitu hivyo vinatafutwa na mtu wa kipato cha chini, isije ikaleta shida kwa wale wapenda fedha za bure bure.....!!!!. Kwa wenye navyo mnifuate PM ili tuzungumze na niwapatie maelezo toka kwa mhusika....asanteni
1. Kinatafutwa chumba kidogo cha kupangisha kwa ajilk ya biashara maeneo: kwa chambo, maghorofani, nane nane, au pengine penye makutanio ya watu wa aina zote
2. Kinatafutwa kiwanja kwa ajili ya makazi, maeneo ya mkundi, lukobe, chingolwila, lukobe, ama popote...
3. Vitu hivyo vinatafutwa na mtu wa kipato cha chini, isije ikaleta shida kwa wale wapenda fedha za bure bure.....!!!!. Kwa wenye navyo mnifuate PM ili tuzungumze na niwapatie maelezo toka kwa mhusika....asanteni