Hivi kuna shida gani Dawasa? Maji hayatoki Tegeta siku ya tano sasa na hamtoi taarifa yoyote wala hamshughulikii tatizo. Mkipigiwa simu mnasema mnashughulikia lakini siku zinapita tu maji hayatoki. Nini shida?
Lakini umeshajiuliza kuhusu life span yao na yetu? Manake sio tu kusema mtu yuko fiti lakini hatoboi zaidi ya miaka 60 wakati hao 'waoga' wanadunda hadi miaka 100
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambozz,
Naomba kuuliza swali la msingi. Hv tunaponunua LUKU kwa mitandao ya simu au kwa MaxMalipo tunakatwa kiasi gani au asilimia ngapi ya kulipia huduma hiyo?
Maana nimegundua nikiwa na salio taslimu na nikataka kununua umeme kwa pesa yote ya salio naambiwa salio halitoshi.
Halikadhalika...
Hashiki mimba kwa sababu mayai yake yanapevuka akiwa hedhini. Wala hana tatizo, ila ujue tu kuhesabu siku zake. Kuna topic ilishaletwa humu kitambo ikielezea hao watu wenye mzunguko mfupi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.