Kinachowafanya warusi watoke nduki na kuacha madubwashi yao nyuma ni baada ya waukreni kutumia vionjo mbalimbali va silaha toka nchi za magharibi na Marekani.
Nimewakuta wachaga wawili wakiongea Kiswahili, nilivowauliza kwanini nyie wote kabila moja mbona hamuongei kichaga? Wakanijibu kuwa luga zao za kichaga zintafautiana
Tuonyeshe ujinga aliouandika uko wapI? Lambda nikama tu, KABILA fulani kenya linatamaduni ya wanaume kutembea uchi, ila wakiona mwanaume kavaa nguo wanamwita MJINGA!
Basi kama ndio hivyo abadilishe misemo yake ya kizanzibari.
Kumbukumbu zinaonyesha Rais wa awamu ya pili Mzee Mwinyi aliwahi kusema: sisi watanzania tumekalia UCHUMI!. huku bara neno hilo la kukalia uchumi, likaleta tafsiri ya Kibarabara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.