Hampendi kukosolewa ,mkikosolewa hamkubali hadharani bali mnasimama na kusitisha zoezi kimya kimya,,,,,,,,,,,rejea bomoa bomoa, sukari kutoka nje, kuhamia dodoma
Subiri kesho atatoa tafsiri nyingine, au yule msajili wa vyama vya siasa atamsemea kama mwanzo kuwa mmemnukuu vibaya mh rais, mh rais alimaanisha hakuna maandamano ya kisiasa na si mikutano ya kisiasa
Naukizia zile salary slip za mkulu jana zilioneshwa, au bado hakarudi dar maana alisema kupitia clouds kwamba akifika tu dar anatoa ushahidi wa mshara wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.