Hii ni kweli kiongozi nipo Mafinga kikazi kati ya watu 10 hapa mjini 7 wanataka mabadiliko nikiwamo mm mwenyewe.hata mtoto wangu Wa miaka 4 nae anataka mabadiliko cos kabla ya kuniamkia ananisalimia Peoples power very amazing
Hbr nyingine ni purely uongo na bado mnacomment na kupongeza tangu lini seifu akaiacha Zenji na she ria gani imetumika kwa wagombea toka vyama tofauti kugombea pamoja
Duh umenikumbusha wakati Niko Tabora jamaa wanasafiri toka Tbr kwenda Shy au Mwnz huku njiani anakusanya kila aina ya zagazaga kila kila kituo lazima apige shopping jamaa wana Pesa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.