Tafuta kitabu kinaitwa "History Of USA"... Kimeelezea mengi juu ya uvumbuzi Wa America...kiufupi kwenye hicho kitabu mvumbuzi anayetajwa ni muitaliano mmoja hivi wakuitwa Amerigo Vespucci na sio Christopher Columbus kama wengi tunavyoaminishwa.
Historia inabainisha kuwa hata jina America...
Siyo kuwa clouds wana shobo Mkuu...usichoelewa kuwa clouds ni kampuni na inajiendiesha kwa kutegemea faida hivyo menejiment team ya kiba imegharamia mchongo mzima Wa kutangaza ujio Wa ngoma yake mpya sambamba na brand yake ya energy drink ya mofaya..
Hivyo hapo ishu ni kuwa clouds wamevuta...
Kwa utafiti wangu Mdogo nilioufanya nimegundua kuwa Wimbo "Swahiba" Ulioimbwa na Msanii Jebby ambaye kwa sasa ni marehemu aliomshirikisha Afande Sele unaweza kuwa ndiyo wimbo pekee Wa bongofleva unaopigwa zaidi pindi unapotokea msiba Wa mtu mashuhuri.
Kiukweli hata Leo Hii nchi ikipatwa na...
Hii huenda ikawa habari poa kwa wakulima na wale wenye mipango ya kufanya uwekezaji katika kilimo.
Habari ni kuwa zao la Vanilla lililolimwa na kuvunwa vyema kwa sasa huuzwa Kati ya dola za kimarekani 500 mpaka 580 kwa kilo moja.
Kwa haoa Tz zao la Vanilla huota na kustawi zaidi katika mikoa...
Kampuni za Azam zimeendelea kufanya mapinduzi ya uwekezaji kwa kuanza kuwekeza katika Usafirishaji Wa anga kwa kutegemewa hivi punde kushusha ndege 15 kwa ajili ya shughuli za usafirishaji kutoka Zanzibar kwenda maeneo jirani
Raisi Wa Mauritius, ambaye ndiye raisi wa kike pekee barani Africa kwa sasa, Bi.Gurib-Fakim
amejikuta katika msukosuko Wa kujiuzulu madaraka yake ya Uraisi kufuatia kashfa inayomkabili ya kufanya matumizi ya hovyo ya pesa zilizotolewa na shirika lisilo la liserikali kwa ajili ya kusaidia ada...
Kwa mujibu Wa taratibu za kiuungwana nimeona ni vyema na haki vitu vizuri nikala na wenzangu...
Basi nikaona si mbaya kama ntashea list ya vitabu vitano vitakavyoweza kuchochea uelewa wetu juu ya mambo mengi ya dunia hii.
Wana JF wenzangu, wapenda kusoma vitabu na hata wale wasio na mazoea ya...
Duuuu!...Kweli vyuma vimekaza mpaka shamba lisilo na hati linauzwaje!!?...Sheria na taratibu za uuzwaji ardhi unazifahamu kweli.!?..Acha njaa..Take Care Mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.