Wapigie cm watakusaidia co mpaka lazima uende mm co lazima ulipe tena 30 wanakusaidia iyo mbna ishu simple sana iyo uco ogope wanakutisha tuuu namba zao zipo kwnye form pale pale wanakusaidia ishu ndogo iyo ww ucogope...
Of coz ilo nalo neno ishu ni kuziboresha tuu icho ndo cha msingi kiukweli....lkn co kusema wanahalibu eli wangehalibu elimu hata hizo shule za kata olevel wangejenga...hapo ni kuboresha tuu bac...
Kweli umeongea humu ndani jf kuna watu wabinafsi yn wanataka waonekane wao tuu ndo wanaelimu naic uyu mshikaji hata shule za kata zilivyo azishwa alimaind yn ujue watz weng atujua mana ya elimu bola ni nn coz watz weng tume kalili kwamba elimu bora ni ile watu wakifanya mitiani wakifeli wengi...
Ndo nasikia walihaidi eti sijui tutaenda soma military science nje kati ya ujeruman au japan me nkaona propaganda tuuu nchi ynyewe hii bora nipige chuo kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.