Traffic jam imezidi

Traffic jam imezidi

Ebanae Leo Nimekoma Yaani Toka Saa Kumi Mpaka Mda Huu Inaelekea Saa Mbili Hatujavuka Bugr Kutokea Kariako Yaani Sijui Tabt Tutafika Saa Ngapi? Leo Maisha Bora Nimeyashuhudia Mwenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: lin
Pole
ngoja nianzishe mobile toilet kwa nyinyi mnaobanwa kwenye foleni nipatae ada za watoto maisha yamebana
 
Tatizo la dar foleni inasababishwa na madereva wapuuzi wasiojali taa za barabarani kwenye makutano ya barabara. Kwa hiyo mara nyingi inatatikana traffic wawepo ili kuyaongoza magari, kwa hiyo kama hawapo kwa sababu nao wanaogopa mvua ni majanga makubwa kama leo ilivyo
 
  • Thanks
Reactions: lin
Ila unaambiwa ukiona foleni zinaongezeka mjini ujue ndio maendeleo yenyewe hayo. Kipindi cha nyuma miaka 70 hadi 90, tulikuwa tunatoka maeneo ya Mwembe Chai tunaenda Ferry kipindi hicho gari ni za kuhesabika, lakini sasa hivi maendeleo yamekuwa makubwa kiasi kwamba kwa vijana wa sasa gari wanaita BASIC NEED, yaani kama chakula, mavazi na malazi. Mtoto akimaliza chuo tu akipata kazi cha kwanza kabisa anakopa ili awe na gari, ni jambo zuri kwani ndio maendeleo hayo. Kibaya ni kwamba serikali imesahau kujenga miundo mbinu endelevu kulingana na ongezeko la watu jijini Dar na ongezeko la magari. Kingine kungefanyika mpango angalau wa kuiendeleza mikoa mingine nayo ili population ya Dar ipungue manake kha mpaka inakera. Watu wamekuwa wengi sana na kijografia huwa mji ni mdogo sana kuweza kubeba watu milioni 5 sijui (nasungumzia waliohesabiwa tu)
 
Ila unaambiwa ukiona foleni zinaongezeka mjini ujue ndio maendeleo yenyewe hayo. Kipindi cha nyuma miaka 70 hadi 90, tulikuwa tunatoka maeneo ya Mwembe Chai tunaenda Ferry kipindi hicho gari ni za kuhesabika, lakini sasa hivi maendeleo yamekuwa makubwa kiasi kwamba kwa vijana wa sasa gari wanaita BASIC NEED, yaani kama chakula, mavazi na malazi. Mtoto akimaliza chuo tu akipata kazi cha kwanza kabisa anakopa ili awe na gari, ni jambo zuri kwani ndio maendeleo hayo. Kibaya ni kwamba serikali imesahau kujenga miundo mbinu endelevu kulingana na ongezeko la watu jijini Dar na ongezeko la magari. Kingine kungefanyika mpango angalau wa kuiendeleza mikoa mingine nayo ili population ya Dar ipungue manake kha mpaka inakera. Watu wamekuwa wengi sana na kijografia huwa mji ni mdogo sana kuweza kubeba watu milioni 5 sijui (nasungumzia waliohesabiwa tu)

Yani shida kupita kiasi na hapo daladala nyingi hazikuwa barabarani
 
Pole
ngoja nianzishe mobile toilet kwa nyinyi mnaobanwa kwenye foleni nipatae ada za watoto maisha yamebana

Kweli,coz unakaa kwenye folen hadi unaanza kusinzia,Dar hatulali tunajiegesha tu,nimefika nyumban saa 5 na saa hivi tayari nshafika job
 
Traffic police mmetoweka nini?

Toka saa kumi na nusu hadi saa hivi bado nipo posta hiihii foleni haisogei

Embu tuokoeni tufike makwetu

Mbona mlisema traffik hawa umuhimu wa kukaa barabarani imekuwaje leo mnawatafuta kawaiteni jwtz hao ndo watawasidia maana ndo wanao jua kufanya hizo kazi
 
Mbona mlisema traffik hawa umuhimu wa kukaa barabarani imekuwaje leo mnawatafuta kawaiteni jwtz hao ndo watawasidia maana ndo wanao jua kufanya hizo kazi
Lol...mna umuhimu
ila asubui barabara ilikuwa nyeupe,nimetumia dakika 30 tu from home to job
 
Back
Top Bottom