Recent content by Chief

  1. C

    JamiiForums Tanzania Ni hatari sana kwa nchi kuendelea na huu mfumo wa grid wa umeme

    Uta decentralise grid(kwanza zipo decentralized) lakini huwezi ku decentralise source ya umeme. Kama kuna matatizo kwenye source, effect ni kwenye mfumo wote.
  2. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napendwa kupita kiasi

    Hapana ni jini. Achana naye
  3. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwait imeanzisha kanuni mpya za kuajiri wafanyakazi wa ndani, huku ikizuia kuajiri kutoka nchi zingine 27

    Kwani wakenya kwenda uarabuni kwa sababu ya matatizo ya serikali yao ingawaje ya upinzani? Nina mtazamo tofauti na wako. Wakenya wanaenda nchi hizo na zinginezo kwa sababu wanajua kuchangamkia fursa kuliko watanzania. Na huu ndio ukweli.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Majuto ni Mjukuu: Nimehonga Tsh. Milioni 1 ili nipate nafasi za Jeshi ila mpaka sasa kimya

    Wala usijute. Unajuta kwa kitu ambacho ulijua matokeo yake kwa kiasi kikubwa sana yatakuwa mabaya, bado ukaendelea kufanya ukitegemea matokeo tofauti.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Safari ya dk. Samia, Nchini Urusi ni zaidi ya ziara za kawaida; ni fursa, ni uwekezaji" – Mchange

    Tangu lini Urusi ikawa fursa? Kama wataka msaada wa silaha, hapo sawa.
  6. C

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mjiulize swali la msingi. Kama Mch Msigwa angesginda uchaguzi kupitia CCM angejiuzulu ubunge sababu ya mauaji ya Oktoba 29?

    Si umuulize Msigwa mwenyewe, sioni sababu ya kuiuliza Chadema halafu unaijibia
  7. C

    JamiiForums Tanzania Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

    Unaamini kuwa raisi haujui ukweli?
Back
Top Bottom