Recent content by Chief

  1. C

    Kuhusu DNA kupitia Ustawi wa Jamii

    Ni ujinga wa serikali yetu tu. Eti ukitaka kupima DNA lazima na mama wa mtoto awepo. Mimi baba nataka kujihakikishia huyu mtoto ni wangu. Kwa nini mama ahusike kupimwa?
  2. C

    Chahali: Hakuna ubishi tena. Samia ataondoka wakati wowote, hamalizi 2026. Ila kuifuta CCM kwa ujumla, tunahitaji njia nyingine!

    Acha kuwasingizia waganda kuwa wanaondoana kwa mabavu. Wameondoana mara ngapi? Lete facts.
  3. C

    Thibitisha kwamba HAKUNA MUNGU

    Contradictions zipi ? Nina haki ya kukuuliza na wewe una wajibu wa kujibu. Kushindwa kumshika mwizi haiondoi ukweli kuwa kuna wizi umefanywa na mtu. Hivyo wewe kukataa kata kata kuwa ni mtu kakwiba unatakiwa kutoa ushahidi mbadala nani kakwiba.
  4. C

    Thibitisha kwamba HAKUNA MUNGU

    Wezi wakiiba nyumbani kwangu nikasema kuna watu wamebomoa kwangu wakaiba, wewe ukasema kwa nguvu zote kuwa si watu wamebomoa, hivyo na wewe una burden ya ku prove kuwa si watu bali viumbe fulani ambavyo vimekwiba.
  5. C

    Viongozi wa Dini Wajikite kuhubiri Neno la Mungu kama lilivyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu Na siyo kuhubiri Hisia zao za kisiasa

    Pamoja na sifa zote ulizomshushia, usisahau kusema mama kaua watu vile vile.
  6. C

    Unawaomba radhi wageni kwa kuwakatia intaneti kwa siku 6 halafu wazalendo uliowaua hata majina yao unajifanya hauyajui!

    Raia gani wa Tanganyika anautaka huu muungano wewe? Wanaoutaka muungano ni viongozi wa CCM bara na visiwani kwani ni wanufaika. Kwa hiyo hata wazanzibari CCM wanautaka huu muungano ndio maana upo.
  7. C

    Kwanini ndoa kati ya Wahindi na Waafrika, hasa Watanzania ni chache?

    Huyu Kapoor Singh wa wapi? Umenikumbusha mbali sana
  8. C

    Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Post nzima imajaa Kitima, Kitima. Sasa usemi kuwa kanisa katoliki ni sikio la kufa unangiaje hapa?
  9. C

    Unawaomba radhi wageni kwa kuwakatia intaneti kwa siku 6 halafu wazalendo uliowaua hata majina yao unajifanya hauyajui!

    Hawezi omba radhi asilani. Kaishasema nguvu iliyotumika ni stahili ya tukio. Hivyo kahalalisha uuaji. Ajabu sana rais anaona sawa kuuawa kwa raia.
  10. C

    Mwaka 2025 umeisha tunaingia 2026, Utamkumbuka Samia kwa lipi?

    Nchi gani ilifadhili na ilifadhili nini? Acha propaganda njoo na facts. Usiimbe nyimbo za wanasiasa. Una akili ya kuweza kuchambua issues. Waulize waliozima mtandao.
  11. C

    Mwaka 2025 umeisha tunaingia 2026, Utamkumbuka Samia kwa lipi?

    Sasa niwajibie polisi ambao waliua watu tarehe 29? Nakemea uhalifu na nakemea mauaji ya watu wote kwani hata wale unaosema wana hatia, wangekamatwa na kupelekwa mahakamani na sio kuuwawa. Huu ndio utawala wa sheria.
  12. C

    Samia kila anachokifanya kinayeyuka kama barafu, jamii imemkataa

    Na wewe utajibu nyuzi 1000 kila siku kumtetea mama. Mama yupo Ikulu SIO kwa ridhaa ya wananchi bali kwa kupora uchaguzi.
Back
Top Bottom