Ni ujinga wa serikali yetu tu. Eti ukitaka kupima DNA lazima na mama wa mtoto awepo.
Mimi baba nataka kujihakikishia huyu mtoto ni wangu. Kwa nini mama ahusike kupimwa?
Contradictions zipi ? Nina haki ya kukuuliza na wewe una wajibu wa kujibu. Kushindwa kumshika mwizi haiondoi ukweli kuwa kuna wizi umefanywa na mtu. Hivyo wewe kukataa kata kata kuwa ni mtu kakwiba unatakiwa kutoa ushahidi mbadala nani kakwiba.
Wezi wakiiba nyumbani kwangu nikasema kuna watu wamebomoa kwangu wakaiba, wewe ukasema kwa nguvu zote kuwa si watu wamebomoa, hivyo na wewe una burden ya ku prove kuwa si watu bali viumbe fulani ambavyo vimekwiba.
Raia gani wa Tanganyika anautaka huu muungano wewe? Wanaoutaka muungano ni viongozi wa CCM bara na visiwani kwani ni wanufaika. Kwa hiyo hata wazanzibari CCM wanautaka huu muungano ndio maana upo.
Nchi gani ilifadhili na ilifadhili nini? Acha propaganda njoo na facts. Usiimbe nyimbo za wanasiasa. Una akili ya kuweza kuchambua issues. Waulize waliozima mtandao.
Sasa niwajibie polisi ambao waliua watu tarehe 29? Nakemea uhalifu na nakemea mauaji ya watu wote kwani hata wale unaosema wana hatia, wangekamatwa na kupelekwa mahakamani na sio kuuwawa. Huu ndio utawala wa sheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.