Recent content by Chief

  1. C

    Rais Samia Aweka rekodi ya Kujenga Masoko ya Wajasiriamali Kwenye Miji Yote Tanzania Nzima.Haijawi Tokea Kabla

    Mi Mimi sibishi. Ila tusisahau rekodi nyengine aliyoweka kuwa ni raisi iliyeua raia wake wengi kuliko raisi yeyote katika historia ya Tanzania. Kaandika historia isiyofutika vizazi na vizazi.
  2. C

    Rostam Aziz -Ni kundi la wanasiasa mafisadi wanaojiita wawekezaji

    Hajui au hakumbuki au anajitoa ufahamu.
  3. C

    Trump: Meli itakayolipa ushuru kwa Iran kukamatwa

    Kwa sababu hizo canals zimetengenezwa na watu lakini Strait of Hormuz haikutengenezwa na mtu.
  4. C

    Kuhusu DNA kupitia Ustawi wa Jamii

    Ni ujinga wa serikali yetu tu. Eti ukitaka kupima DNA lazima na mama wa mtoto awepo. Mimi baba nataka kujihakikishia huyu mtoto ni wangu. Kwa nini mama ahusike kupimwa?
  5. C

    Chahali: Hakuna ubishi tena. Samia ataondoka wakati wowote, hamalizi 2026. Ila kuifuta CCM kwa ujumla, tunahitaji njia nyingine!

    Acha kuwasingizia waganda kuwa wanaondoana kwa mabavu. Wameondoana mara ngapi? Lete facts.
  6. C

    Thibitisha kwamba HAKUNA MUNGU

    Contradictions zipi ? Nina haki ya kukuuliza na wewe una wajibu wa kujibu. Kushindwa kumshika mwizi haiondoi ukweli kuwa kuna wizi umefanywa na mtu. Hivyo wewe kukataa kata kata kuwa ni mtu kakwiba unatakiwa kutoa ushahidi mbadala nani kakwiba.
  7. C

    Thibitisha kwamba HAKUNA MUNGU

    Wezi wakiiba nyumbani kwangu nikasema kuna watu wamebomoa kwangu wakaiba, wewe ukasema kwa nguvu zote kuwa si watu wamebomoa, hivyo na wewe una burden ya ku prove kuwa si watu bali viumbe fulani ambavyo vimekwiba.
  8. C

    Viongozi wa Dini Wajikite kuhubiri Neno la Mungu kama lilivyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu Na siyo kuhubiri Hisia zao za kisiasa

    Pamoja na sifa zote ulizomshushia, usisahau kusema mama kaua watu vile vile.
Back
Top Bottom