Recent content by Chief

  1. C

    JamiiForums Tanzania Nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi ? Nione kama naweka mjengo wa 3

    Ukistaafu watoto wote wameondoka nyumbani umebaki wewe na wife. Sasa nyumba kubwa kama hiyo ya nini? Labda kama floor zingine utaweka wapangaji m.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Ni Jasusi Mbobevu na Ndio Maana Amekuwa na Utulivu Mkubwa Wa Ulimi Kabla ya Kufanya Maamuzi na Kutoa Maneno Kinywani Mwake

    Kweli naona hapa alitumia akili kubwa sana kiwango cha Phd. https://m.youtube.com/watch?v=Jf8BIqaqLIU&pp=ygUma2lsYSBtYnV6aSBhbGUga3dhIHVyZWZ1IHdhIGthbWJhIHlha2U%3D
  3. C

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Source?
  4. C

    JamiiForums Tanzania Hata wao walishindwa kuzuia tabasamu lao!

    Labda "alitumwa" CCM sasa karudi kuwasilisha ripoti
  5. C

    JamiiForums Tanzania Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

    Show sources of your information, otherwise it is just empty air.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Samia ndiye Rais wa Kwanza Kujenga Stendi Kila Mji Tanzania Hadi Mikoa Iliyokuwa Imeshindikana kama Arusha na Mbeya

    Usisahau utofauti wake mwingine na waliotangulia kuwa kaua watu, kapoteza watu zaidi ya wote.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Propaganda: KItabu Cha Abdul Sykes Kinauzwa Misikitini

    Hamna shaka Mzee Mohamed Said inaijua historia barabara. Kuna tatizo gani yeye kuielezea historia hiyo kwa mtazamo wa kiimani, ikiwa hapotoshi ukweli? Mtu yeyote anaruhusiwa kuiandika historia kwa mtazamo wowote ule, mradi asipotoshe.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Ngono mbaya!

    Ngono imeumbwa na Mungu huo utakatifu unaousema hutaki uuharibu umetoka wapi?
  9. C

    JamiiForums Tanzania Leo Shoboka kakataa kufua boxer, iko siku atatamani kumiliki dildo

    Kwani kaambiwa awache kazi au asiajiriwe?
Back
Top Bottom