Kwa akili yako, unaona ni rahisi zaidi kuamini kuwa CHADEMA wame engineer msaidizi wa Mwenyekiti atekwe, afungwe pingu (CHADEMA wana access na pingu) apigwe na vitako vya bunduki na kuteswa KULIKO kuamini kuwa askari watano wametoka ndani ya gari wakimwacha mfungwa kwenye pingu akiwa kapigwa...