Recent content by Chief

  1. C

    JamiiForums Tanzania Sheikh Alhad: Marekani iheshimu serikali yetu inayoendeshwa kwa misingi ya Kikatiba, wanatuonea wivu tumevuka salama na Oktoba 29

    Tulipitaje salama wakati watu waliuawa? Wewe Sheikh unachekesha sana.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Je mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kuzaa??

    Surrogate mother.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Si mnamsifu Rais Samia kajenga SGR? Wapi kabeba chepeto?
  4. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Alishasema nguvu iliyotumika ni stahili.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Samia ni Mama, hakuwaua watoto wenu. Mungu huwachukua watu sugu wa aina flani kwa njia flani

    Wamesababisha "fujo" na Rais akawauwa.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Patrick Assenga arejea CHADEMA akitokea CHAUMMA

    Na mimi waniweke:)
  7. C

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Kweli unaamini Polisi watatoa majibu sahihi? Umejuaje amejitokeza kwa sababu hakuona njia yeyote ya kuweza kutoroka? Mbona polisi hawajamfungulia mashtaka mahakamani au kumkamata mkama ni mtuhumumiwa? Unajitoa ufahamu!
  8. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ashukuriwe na kupongezwa sana Kwa Uongozi Wake Uliobadilisha Maisha ya Watanzania

    Usisahau kuwa kaua watu.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Bandar Dar ana Ukwasi usio wa kawaida

    Definitely. She is a part of it 100%
  10. C

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Bandar Dar ana Ukwasi usio wa kawaida

    Umemsikia hata siku moja Samia akikemea rushwa/ubadhirifu wa mali ya umma? Hafanyi hivyo kwa sababu yeye ni sehemu ya tatizo na si mtatua tatizo. Sasa hivi hapa nchini ni sadaka lao. Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
  11. C

    JamiiForums Tanzania INACHEKESHA SANA

    Kwa akili yako, unaona ni rahisi zaidi kuamini kuwa CHADEMA wame engineer msaidizi wa Mwenyekiti atekwe, afungwe pingu (CHADEMA wana access na pingu) apigwe na vitako vya bunduki na kuteswa KULIKO kuamini kuwa askari watano wametoka ndani ya gari wakimwacha mfungwa kwenye pingu akiwa kapigwa...
  12. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Naamini Vifo vya Oktoba 29 vilikuwa vingi zaidi kuliko wanavyosema

    Yaani ripoti ya Chande imekuwa kama msahafu?
Back
Top Bottom