Uta decentralise grid(kwanza zipo decentralized) lakini huwezi ku decentralise source ya umeme. Kama kuna matatizo kwenye source, effect ni kwenye mfumo wote.
Kwani wakenya kwenda uarabuni kwa sababu ya matatizo ya serikali yao ingawaje ya upinzani? Nina mtazamo tofauti na wako. Wakenya wanaenda nchi hizo na zinginezo kwa sababu wanajua kuchangamkia fursa kuliko watanzania. Na huu ndio ukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.