100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,058
- 35,973
Huwa ni wahudumu katika jamii, kuna ambao ni madaktari, wauguzi, walimu n.k...Mapadre bwana! Hivi KAZI ya masista ni nini hasa kule kanisani?
Huwa ni wahudumu katika jamii, kuna ambao ni madaktari, wauguzi, walimu n.k...Mapadre bwana! Hivi KAZI ya masista ni nini hasa kule kanisani?
Daah! ila Kuna wengine wameumbika kweli kweliHuwa ni wahudumu katika jamii, kuna ambao ni madaktari, wauguzi, walimu n.k...
Na wana miili mizuri, unakuta sister ana miaka 40 chuchu saa 6... wanajitunza.. wao ni kazi na sala..Daah! ila Kuna wengine wameumbika kweli kweli
Hawa wana uzuri wa asili,ngozi laiin,na wengi nyuma wamejaaliwa.siku Moja tulikwenda hospitali Fulani Mimi na rafiki yangu.akatokea huyo kiumbe.Wote tuliokuwa pale tulipigwa na butwaa kuanzia wagonjwa,watumishi na wauguzi..wake kwa waumeNa wana miili mizuri, unakuta sister ana miaka 40 chuchu saa 6... wanajitunza.. wao ni kazi na sala..
Ngono imeumbwa na Mungu huo utakatifu unaousema hutaki uuharibu umetoka wapi?Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
HongeraMimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
We jamaa fanya uolewe maana sio kwa marudio haya ya kila sikuMimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
Hatuwezi jua labda Kam n mgonjw
Jukwaa la mapenzi umekuja kufata nini? Acha uongo.Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.