Ngono mbaya!

Ngono mbaya!

Na wana miili mizuri, unakuta sister ana miaka 40 chuchu saa 6... wanajitunza.. wao ni kazi na sala..
Hawa wana uzuri wa asili,ngozi laiin,na wengi nyuma wamejaaliwa.siku Moja tulikwenda hospitali Fulani Mimi na rafiki yangu.akatokea huyo kiumbe.Wote tuliokuwa pale tulipigwa na butwaa kuanzia wagonjwa,watumishi na wauguzi..wake kwa waume
Rafiki yangu akajikuta amepayuka kwa sauti "Nabadili dini" watu wakamshangaa,akili zilipomrudia akaanza kujishtukia,Akala Kona.
Yule sista kaumbika
 
Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
Ngono imeumbwa na Mungu huo utakatifu unaousema hutaki uuharibu umetoka wapi?
 
e935dd3ddb01763bf00c71c0e13b9e8e.jpg
 
Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
Hongera
Red-me maisha ni kuchagua!
 
Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
We jamaa fanya uolewe maana sio kwa marudio haya ya kila siku

Kila siku unaanzisha uzi ukijinadi Wewe ni bikra wala huna mpenzi.

Kama ni wateja nina imani ushawapata hivyo lipia tangazo sasa
 
Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
Jukwaa la mapenzi umekuja kufata nini? Acha uongo.
 
Mimi ndo naelekea 40s kabisa sijawahi kulomba nataka iwe historia mwanaume wa kwanza kufikisha miaka mingi akiwa bikra nitaenda mpaka vituo vya media kutangaza
 
Back
Top Bottom