Recent content by Chief Mtangi

  1. Chief Mtangi

    Sauti Sol wamekubali kujiunga Freemasons?

    Fikra za kimaskini, tafuta pesa
  2. Chief Mtangi

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    nelson15, Kwanza sikushauri kufanya manunuzi huko yaani Amazon.in or Flipkart hizi Indian-based shopping platforms, ila kwa upande wa Amazon.in unaweza tumia EasybuyAfrica.com hawa wananunua on your behalf, unachotakiwa kufanya ingia kwenye page husika (sio flipkart) copy URL then ingia...
  3. Chief Mtangi

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Babarazack, Seller huchagua njia za kuwatumia parcels wateja wake, wapo wanaotoa option kwa njia zote na kumpa uhuru buyer kuchagua njia ipi nafuu na ya haraka kwake, ila wapo baadhi ambao huwa wameweka njia moja tu with no options mfano; unakuta seller amechagua only DHL/FedEx hizi ni very...
  4. Chief Mtangi

    Sitoisahau Zanzibar!

    Kiufupi jamaa alienda kazini uchi ama mtupu, watu wapwani tuna desturi ya kurudi kwa wazee kunywa kahawa baada ya kupata ajira au mchongo wa pesa ndefu, unless utafia juu ya kiti cha office!!!
  5. Chief Mtangi

    Picha: Legend anawasabahi

    Brian ila alikuwa anamtesa tu demu wake, maana demu hataki bro analazimisha kurekodi NB: Nimehadithiwa!
  6. Chief Mtangi

    Madee: Siamini katika ubaguzi wa rangi

    Kwahiyo yeye kilichotokea hakimgusi yaani kihivyo
  7. Chief Mtangi

    Lady Jay Dee lazima ukubali, huu ni wakati wa Zuchu

    Donnie Charlie, Uwiano upi unaotaka kumweka Zuchu na JD?. Unaweza sema Zuchu akifanya hiki ama kile anaweza dumu au kupasua kama JD ila sio kumpambanisha ama kumlinganisha. That's why leo Mohamad Ali, Tyson or Mayweather watasemwa kwa ubora ila sio kwa kuwapambanisha. PERIOD!
  8. Chief Mtangi

    Ipi simu kali kati ya Samsung S8+ na Samsung M31

    mkorinto, That's why nimesema hii battle ingekuwa Tecno 64MP v's Samsung 12MP ningekubali, lakini Samsung v's Samsung "BIG NO", hii simu imekuja na improvement nyingi ikiwemo Camera ingawaje ni midrange phone lakini iko more advanced, hii kitu inafanywa saana na Xiaomi, Realme, Redmi now...
  9. Chief Mtangi

    Lady Jay Dee lazima ukubali, huu ni wakati wa Zuchu

    kombaME, Zwazwa kweli wewe kuna sehemu nimemfananisha Zuchu na JD au unawashwa?, soma comment uielewe sio kudandia juu juu tu. Nimejibu according to post tuliza mshono kama hujaielewa, mimi sio taahira kiasi hicho mpaka nimweke Zuchu na JD league moja!
  10. Chief Mtangi

    Nilichojifunza kutoka kwa Mzee Yusuf

    Hongera ndugu huna tofauti na wale wanaoandika vitabu kwa kiingereza cha vijijini, yaani mpaka ukae lisaa lizima ndo uelewe
  11. Chief Mtangi

    Lady Jay Dee lazima ukubali, huu ni wakati wa Zuchu

    Donnie Charlie, That's why kwenye comment yangu hakuna sehemu nimemlinganisha ila kuponda wanaomlinganisha na wasanii waliotangulia. Zuchu atabaki kuwa Zuchu, and JD atabaki kuwa JD. Zuchu anakipaji na anapambana kama msanii kinda na mpya kwenye game kumweka kwenye league na msanii aliyeko more...
  12. Chief Mtangi

    Ipi simu kali kati ya Samsung S8+ na Samsung M31

    Chief-Mkwawa, Laiti hii M31 ingekuwa imetengenezwa na kampuni tofauti na Samsung basi ningekubaliana na wewe kwa maelezo yako, yaani M31 camera 64MP ambapo kampuni nyingi kuanzia late 2019 zimeanza kutoa simu katika 64MP unataka kuifananisha na ndugu yake S8 with 12MP, ndio tunakubali kuwa...
  13. Chief Mtangi

    Naomba Ushauri kuhusu hili la Samsung chomebook pro na Google stadia

    First Chromebooks are not designed for games means they're not gaming PC (infact Chromebook sio PC). Pia Google stadia zinahitaji a lot of bundles and stable internet maana unacheza games ukiwa online not offline, hivyo stable internet connection inahitajika. Pia Google stadia ina limited № of...
  14. Chief Mtangi

    Naomba ushauri katika hili la Mpesa mastercard paypal refunds

    Kwanza pole mkuu ulifanya makosa kuunganisha Vodacom M-Pesa MasterCard maana hakukuwa na umuhimu ungetumia hiyo hiyo M-pesa MasterCard haina shida pia hata refund huwa wanatuma bila tatizo tofauti na PayPal, PayPal ni nzuri lakini hapa kwetu refund huchelewa ama kutoipata ila hii huwakuta wale...
  15. Chief Mtangi

    Hebu furahi kidogo uongeze siku za kuishi

    Sio siri japo sikielewi kiinglishi lakini hiyo story inachekesha sana!!! 😁😁😁
Back
Top Bottom