Sitoisahau Zanzibar!

Sitoisahau Zanzibar!

Kiufupi jamaa alienda kazini uchi ama mtupu, watu wapwani tuna desturi ya kurudi kwa wazee kunywa kahawa baada ya kupata ajira au mchongo wa pesa ndefu, unless utafia juu ya kiti cha office!!!
 
Sio 'bwana', ni 'Bwana/BWANA'. Ukiandika bwana hiyo inayoanza kwa herufi ndogo utakuwa ukimaanisha bwana shamba au bwana jela. Kama unamaanisha Bwama wa mabwana lazima uanze kuandika kwa herufi kubwa.


JESUS IS LORD!
Damu ya bwana imlinde Uko aliko
 
Sio 'bwana', ni 'Bwana/BWANA'. Ukiandika bwana hiyo inayoanza kwa herufi ndogo utakuwa ukimaanisha bwana shamba au bwana jela. Kama unamaanisha Bwama wa mabwana lazima uanze kuandika kwa herufi kubwa.


JESUS IS LORD!
Imeisha iyo mkuu. Nimerekebisha
 
majini yapo
uchawi upo

mi naona ni kama wanaoyatuma hugain furaha sana kuyatumia, haswa ikiwa hawataki kuyaondoa baada ya kutimiza malengo haya maovu

yafaa angetafta namna ampe mtu huyo funzo kwa kumharm physically
 
Back
Top Bottom