Picha: Legend anawasabahi

Picha: Legend anawasabahi

Hivi yule mwanamke nae alikuwa mwanachuo ?


Yupo wapi siku hizi ?



Ila mwamba aliigiza video ndefu kuliko porn zote bongo na kipindi kile smart phone hazichanganya
Kuna uzi ulianzishwa humu na kuna mjumbe akasema kuwa huyo dada alishafariki, japo sina uhakika na taarifa hizo.
Wenye details wanaweza kueleza zaidi.
 
Nakumbuka nilikutanaga na jamaa,bro wangu alikuwa anauza simu akaniambia yeye Yuko busy, niende kukutana na mteja wa ile simu.

Nakumbuka nilikutana naye ,mi sikuvunga nikamtania kuhusu ile porn ,ila ishu ya simu tulishindwana.
😂una utani wa ngumi , alijibu nini ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom