Recent content by CHIEF MGALULA

  1. CHIEF MGALULA

    Mjomba Mrisho Mpoto alikuwa mbele ya muda

    Akaongeza...Mjomba Life is not Rehearsal..it's performance
  2. CHIEF MGALULA

    Sababu ipi ilikufanya kujiunga JamiiForums? Mimi ni kikao cha Mwitongo, nikiwa na Makongoro na Mkapa December 2014!

    Nilitambulishwa Jamiiforuma na staffmate mwenzangu ambae alikuwa muhaya na lawyer kama Maxene Melo,nafikiri hawa walikuwa wanajuana maana toka mwaka 2002 na ndio niliemtumia taarifa zangu akaunti ikafunguliwa.Toka wakati huo sijawahi kujuta kuwafahamu.
  3. CHIEF MGALULA

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Hii ndoa imefanikiwa sana kuliko ndoa zinaendeleza usanii,imeandikwa ikitokea ndoa inavunjika basi iwe kwa amani,sio unakomaa na ndoa ya mateso unasema umefanikiwa.
  4. CHIEF MGALULA

    Kilimo cha maembe ya kisasa

    Nenda Kariakoo sokoni,Kisutu au Machinga Complex kuna Agri dealer watakupatia.
  5. CHIEF MGALULA

    Kilimo cha maembe ya kisasa

    Zao la kusimamiwa na Chama cha Ushirika mimi hapana...utanisamehe kwa hilo
  6. CHIEF MGALULA

    Shamba langu. Bustani ya ndoto zangu

    Good plan...yaani umestaafu zako,uko shambani kimyaaaa.Utaongeza miaka mingi sana
  7. CHIEF MGALULA

    GE2025 Makonda amenifanya nibadili mtazamo wangu kuhusu wakazi wa Arusha

    Ndio demokrasia...lazima mkubali na upande wa pili
  8. CHIEF MGALULA

    Nataka kufuga nyuki kisasa

    NILIFANIKIWA KWENDA KUVUNA LAKINI NIMEAMBULIA LITA 30 TU KTK MIZINGA KARIBU 100.NYUKI WAMEKUNYWA ASALI YOTE TULICHELEWA KUVUNA.INAONEKANA KWA URAMBO HIYO NI CHANGAMOTO KWA WAFUGANYUKI WENGI MWAKA HUU.ILITOKEA MABADILIKO YA GHAFLA YA HALI YA HEWA KWA KUWA NA UPEPO MKALI NA BARIDI ILIYOPELEKEA...
  9. CHIEF MGALULA

    Kuwananga / Kuwasema vibaya Yanga SC kwakuwa tu wamechangia CCM si tu ni Ushamba bali pia ni Upumbavu na Unafiki uliovuka mipaka

    Binafsi sioni shida kumchangia aliyeoomba bila kujali itikadi au mitazamo yetu.Kutoa kile ulichonacho ni ibada kama zingine hivyo tusiingilie kwa pupa jambo hili
  10. CHIEF MGALULA

    Nataka kufuga nyuki kisasa

    MREJESHO Baada ya mwezi Juni kukuta watoto wengi,nikashauriwa nirudi baada ya mwezi mmoja nimekuta mambo yafuatayo; 1.Nyuki wamekula asali kama yote,yaani ktk mizinga zaidi ya 150 tumepata kama lita 40 tu. 2.Nyuki ni wengi sana shambani na almost kila mzinga wameingia. WAYFORWAD; -Inoanekana...
  11. CHIEF MGALULA

    Tajiri Temba Watch amchapa risasi kijana huko Kilimanjaro

    Usikimbilie kuamua ugomvi wa wana ndoa..unaweza kuta wewe ndio chanzo.cha ugomvi
  12. CHIEF MGALULA

    Oyaa Chelsea Hatuchezi 😥

    kabisa...tunaijua hiyo
Back
Top Bottom