Ukiishi kama panya utakufa vibaya sana# binadamu kiumbe hatari linapofika kwenye ridhiki/manufaa haijalishi iwe kifamilia,kiukoo,kibiashara,ama kikazi.
Wanawake tunashindwa kuwaelewa maana unaweza mpatia 100k then nikapata shida ghafla ya 2k nikakuomba,et unanuna na inakuuma kutoa angali chanzo cha kuipata hiyo100k ni mm # kweli tuishi na wanawake kwa akili
Huo utakuwa ni udhaifu aliokusoma toka unaanza kibarua lakn kwetu boss anajua fika huyu chief anafanya wajibu wake makini na anataka haki zake makini vilevile
Nishamzengua siku moja na sikutaka kuwa mnyonge mbele yake lakn mwisho wa Siku amenijengea mazingira ya kuwa lafiki yake kinoma kikazi na kitaa# kataa unyonge wa kijinga km unaamn upo kwenye haki
Ni kweli kabisa kama mkeo harrier old model basi jitahidi uadvance hata kwa harrier matako ya nyani( new model)
Heshima mlima asee na ilivyobinuka nyuma ni full heshima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.