Mahusiano katika family - Ugeni wa Ndugu

kluger

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
2,093
1,894
Wasalaam,

Maisha ya family na Ndoa yanahitaji hekima na Busara kwa wanandoa wenyewe na pande zote za muunganiko huo unaotengeneza family kubwa.

Rafiki zangu wengi au pengine hata wewe hapa kuachilia mbali mimi mwenyewe, kuna vitu huwa vimetukwaza kwa hali moja ama nyingine.

Leo napenda nigusie, upande wa ndugu wa mke au mume wanaotembelea family yenu. Wanawake katika nyumba wamekuwa na nafasi ya ustawishaji wa mahusiano ya pande mbili za Ndoa.

Si wote, bali walio wengi hawa wakina Mama, wamekuwa na tatizo sana linapokuja ugeni wa upande wa Mume, huku upande wa mke wakimiminika kila mara.

Yaani hakuna usawa kabisa wa upendo linapokuja wamekuja wageni ambao si ndugu wa mke. Kuanzia ukarimu hata namna ya mapokezi. Mtu unashindwa kuelewa ni Roho Mbaya au hata ni nini?

Wageni hawa si wakukaa siku zote, wala si wa mara kwa mara. Lakini hawa wa upande wake kila baada ya muda mfupi huyu kaja mara yule kaja na kwa upande wetu sisi wanaume tulio wengi hili si tatizo na kama mimi binafsi nafurahi kupata wageni wa family yetu.

Lakini siku zinavyoenda natambua ndugu wa upande wangu hata hawana Amani ya kuja tena kwangu, maana kuna ukarimu na matendo yanayoonekana ambayo hayastahili kwao. Ni kama vile mtu hapendi. Sasa hapa ndipo ikanistua, mbona binafsi sina shida na wageni hao bila kujali pande?

Isitoshe hawakai zaidi ya siku tatu, na katika mwaka pengine mara moja moja sana. Ila upande wake haipiti miezi miwili kuna mgeni. Tatizo ni nini nyinyi wapendwa wetu?? Kwa nini mnakosa upendo? Gharama zote nagharimia sasa shida ni nini?

Jambo hili linakera sana, na linapunguza upendo kwa kiasi kikubwa sana. Wanaotaka kuingia kwenye Ndoa jambo hili jitahidi kumjua mwenza wako, kama ni mtu mkarimu au Roho mbaya. Wanatesa nafsi zetu sana sana

Nawakilisha kwa mliowahi kutana na zahama hizi pengine mnazitatua vipi?

Family si Kisiwa, inahitaji mahusiano na ndugu wengine. Sisemi ndugu wa pande zote kuhamia na kuishi nanyi, la hasha! Yaani, upendo kwa ndugu wa pande zote.
 
Nina mengi ya kusema, ila wacha tu Mungu atusaidie tuenende kwa hekima, unaweza mlaumu mkeo lakini huwezi jua usipokuwepo ni yapi yanatokea behind your back..!

Wake wenye roho mbaya wapo ila ndugu wenye chokochoko pia wapo, unaweza ishi nao na ukajifanya kupretend kama malaika wa zamu ila wakitoka hapo maneno utakayoyaskia hamu nao inakuisha..!!

Hakuna kitu kigumu kama kuishi karibu na kiumbe aitwaye 'ndugu'..!

Kaa chini na mkeo pengine kuna usiyoyajua ukiacha hiyo roho mbaya unayoisema hapa..!
 
Huyo mkeo ni mbinafsi, unapokua mke ndani ya nyumba unatakiwa kuwapenda ndugu wa pwnde zote bila ubaguzi tena ndugu wa mume ndio wanakua ndugu zako maana umeolewa huko

Ukiona mke anawabagua ndugu wa mume basi ni mchoyo au mbinafsi

Sikatai kwamba ndugu wakati mwingine wana maneno lakini hayo ni mapungufu ya kibinaadamu ambayo tunapaswa kuishi nayo maana hao ndugu sio kwamba wanaishi kwenu milele bali wanasalimia na kupita

Zungumza na mkeo mweleze hiyo tabia anayoifanya haifai, kama maelewano hayapo weka sheria kwamba hakuna ndugu wa upande wowote kufika nyumbani kwenu, mkitaka kuwaona mnafunga safari mnawafata makwao ili kuweka usawa

Alipoolewa na wewe maana yake anajua kwamba una ndugu, sioni sababu ya yeye kutowakarimu wageni kutoka kiumeni, huo ni ubinafsi na roho mbaya
 
Nina mengi ya kusema, ila wacha tu Mungu atusaidie tuenende kwa hekima, unaweza mlaumu mkeo lakini huwezi jua usipokuwepo ni yapi yanatokea behind your back..!

Wake wenye roho mbaya wapo ila ndugu wenye chokochoko pia wapo, unaweza ishi nao na ukajifanya kupretend kama malaika wa zamu ila wakitoka hapo maneno utakayoyaskia hamu nao inakuisha..!!

Hakuna kitu kigumu kama kuishi karibu na kiumbe aitwaye 'ndugu'..!

Kaa chini na mkeo pengine kuna usiyoyajua ukiacha hiyo roho mbaya unayoisema hapa..!
Nakuelewa kwa kweli, ndugu wkaati mwingine wana maneno sana, ila jamani kuwavumilia kwa siku tatu? Na kwa nini wawe ni ndugu wa kiumeni tu? Halafu kama kuna jambo ambalo halijamfurahisha kutoka kwa hao ndugu ni vyema akaliweka wazi kwa mume wake maana bila hivyo mume anaamini kwamba mke hapendi ndugu zake.

Na siamini kama ndugu wa mume wote ni wabaya, mwisho wa siku hao watu ni familia ni muhimu kuvumiliana maana ni wa kupita tu sio kwamba wanakaa kwenu milele
 
Dah ndugu we acha umenisononesha sana
Mke wangu mchele unga mafuta gesi na makolokolo sijui matunguu hoo nyanya nk vipo
mm huwa kila wiki napita BOMA kununua hayo matunguu na matunda
Unamuachia elf 10 au elf 7 ya mboga na vingne lkn wakija ndugu zangu unaona kabisa chuzi maji lost hakuna
ubwabwa haukolei nazi yaan kwa kifupi hovyo
Ukiuliza unaambiwa ela haitoshi sijui ni nini na hapo ukirudi sijui una mia 5 hapo una elf 1
Unamuambia km ela haikutosha kwann usingekopa halafu ningerudi nikalipa kimya

Eeeeh sasa waje ndugu zake huwa namuachia elf 5 kusudi lkn hilo dikodiko si la kitoto
Sasa ninachofanya nikirudi halafu nikimuona kafanya ujinga huo huwa nikirudi namwambia ndugu yangu nisindikize kwa mama mara 1(mama anakaa km umbari wa kilomita 1 na nilipopanga mm)
Nampeleka FACEBOOK kinondoni anasosomora vya kutosha tena siku nyingne naenda na mwanangu 7bu najua cha umbea lazima anamuhadirhia mamaake tulivyokura

Wanawake wote sawa nishaoa na kuacha mara 3 lkn huyu nakomaa nae tu sasa utaoa na kuacha hadi lini
Mm nakomaa nao hvyohvyo kivitendo 7bu maneno nishaongea sana
 
Brother we acha umenisononesha sana
Mke wangu mchele unga mafuta gesi na makolokolo sijui matunguu hoo nyanya nk vipo mm huwa kila wiki napita BOMA kununua hayo matinguu na matunnguu vipo
Unamuachia elf 10 au elf 7 ya mboga na vingne lkn wakija ndugu zangu unaona kabisa chuzi maji lost hakina ubwabwa haukolei nazi yaan kwa kifupi hovyo
Ukiuliza unaambiwa ela haitoshi sijui ni nini na hapo ukirudi sijui una mia 5 hapo una elf 1
Unamuambia km ela hitoshi kwann usingekopa halafu ningerudi ukalipa kimya

Eeeeh sasa waje ndugu zake huwa namuachia elf 5 kusudi lkn hilo dikodiko si la kitoto
Sasa ninachofanya nikirudi halafu nikimuona kafanya ujinga huo huwa nikirudi namwambia mgeni nisindikize kwa mama mara 1(mama anakaa km umbari wa kilomita 1 na nilipopanga mm)
Nampeleka FACEBOOK kinondoni anasosomora vya kutosha tena siku nyingne naenda na mwanangu 7bu najua cha umbea lazima anamuhadirhia mamaake tulivyokura

Wanawake wote sawa nishaoa na kuacha mara 3 lkn huyu nakomaa nae tu sasa utaoa na kuacha hadi lini
Mm nakomaa nao hvyohvyo kivitendo 7bu maneno nishaongea sana
Matunguu mahoho yote unamnunulia halafu anaweka chuzi debe mkuu umenichekesha usiku usiku
 
Huyo mkeo ni mbinafsi, unapokua mke ndani ya nyumba unatakiwa kuwapenda ndugu wa pwnde zote bila ubaguzi tena ndugu wa mume ndio wanakua ndugu zako maana umeolewa huko

Ukiona mke anawabagua ndugu wa mume basi ni mchoyo au mbinafsi

Sikatai kwamba ndugu wakati mwingine wana maneno lakini hayo ni mapungufu ya kibinaadamu ambayo tunapaswa kuishi nayo maana hao ndugu sio kwamba wanaishi kwenu milele bali wanasalimia na kupita

Zungumza na mkeo mweleze hiyo tabia anayoifanya haifai, kama maelewano hayapo weka sheria kwamba hakuna ndugu wa upande wowote kufika nyumbani kwenu, mkitaka kuwaona mnafunga safari mnawafata makwao ili kuweka usawa

Alipoolewa na wewe maana yake anajua kwamba una ndugu, sioni sababu ya yeye kutowakarimu wageni kutoka kiumeni, huo ni ubinafsi na roho mbaya
Shukrani sana, nimependa sana mchango wako huu, MUNGU akubariki sana
 
Nakuelewa kwa kweli, ndugu wkaati mwingine wana maneno sana, ila jamani kuwavumilia kwa siku tatu? Na kwa nini wawe ni ndugu wa kiumeni tu? Halafu kama kuna jambo ambalo halijamfurahisha kutoka kwa hao ndugu ni vyema akaliweka wazi kwa mume wake maana bila hivyo mume anaamini kwamba mke hapendi ndugu zake.

Na siamini kama ndugu wa mume wote ni wabaya, mwisho wa siku hao watu ni familia ni muhimu kuvumiliana maana ni wa kupita tu sio kwamba wanakaa kwenu milele
Yaani, umeelewa sana nilichomaanisha..!
 
Tupendane kama familia, chakula ni nini?? Mtu anapita tu, unavimba mikwaruzo kibao huku hao ni ndugu wa damu wa watoto wako. Inaumiza sana. Hela ipo kila kitu kipo then why roho mbaya? Hawana maneno maneno, nawajua tumekuwa na ustaarabu tena hata zaidi ya upande wao. Sasa vinyongo vya nini?

Vijana wenzangu, wachunguzeni sana wapenzi wenu kabla ya kuingia Kwnye Ndoa. Wengi wata pretend kuwapenda ndugu zako, ila akishazoea Ndoa ni shida kubwa. Tafuta mtu mwema nje na Ndani ili maisha yako ya Ndoa yawe na furaha Plus Amani.
 
Inawezekana mkeo ana roho mbaya lakini pia Inawezekana sivyo ilivyo. Ukiacha suala la kuwachangamkia mahitaji yao wanapata vizuri? Anawapikia vizuri na wanakula kwa wakati? Wanalala pazuri? Ukiwapa pesa anavuta mdomo? Ukijibu maswali hayo ukapata majibu positive mkeo kinachomsumbua sio roho mbaya bali ni mzito tu...kumbuka ndugu zako hajawazoea, watu wengine ni wazito wanazoea watu taratibu mno kwa hiyo ukiona na ndugu zake anacheka ila wakija wa kwako anakuwa mkimya ni kwa sababu ndugu zake amewazoe, anawajua vizuri na kuna mengi ya kuongea wanapokutana
 
Huyo mkeo ni mbinafsi, unapokua mke ndani ya nyumba unatakiwa kuwapenda ndugu wa pwnde zote bila ubaguzi tena ndugu wa mume ndio wanakua ndugu zako maana umeolewa huko

Ukiona mke anawabagua ndugu wa mume basi ni mchoyo au mbinafsi

Sikatai kwamba ndugu wakati mwingine wana maneno lakini hayo ni mapungufu ya kibinaadamu ambayo tunapaswa kuishi nayo maana hao ndugu sio kwamba wanaishi kwenu milele bali wanasalimia na kupita

Zungumza na mkeo mweleze hiyo tabia anayoifanya haifai, kama maelewano hayapo weka sheria kwamba hakuna ndugu wa upande wowote kufika nyumbani kwenu, mkitaka kuwaona mnafunga safari mnawafata makwao ili kuweka usawa

Alipoolewa na wewe maana yake anajua kwamba una ndugu, sioni sababu ya yeye kutowakarimu wageni kutoka kiumeni, huo ni ubinafsi na roho mbaya
Mie nashangaa hawa wanawake wa sikuhizi sijui wapoje! Zamani mke akiolewa anajiheshimu na adabu zote hata kama akifa mmewe bado familia yetu inamuangalia yeye na watoto japo watakuwa wanaishi kwao! Mda wa kuozesha mke anarudi kusema kwa shemeji zake kuwa mtoto amepata mchumba na taratibu zinafanyika kama kawaida.

Ila kwa hali ilivyo sasa watoto wengi watakuja kuozeshwa na mama zao kama vile ndugu wa mume hakuna!
 
Dah ndugu we acha umenisononesha sana
Mke wangu mchele unga mafuta gesi na makolokolo sijui matunguu hoo nyanya nk vipo
mm huwa kila wiki napita BOMA kununua hayo matunguu na matunda
Unamuachia elf 10 au elf 7 ya mboga na vingne lkn wakija ndugu zangu unaona kabisa chuzi maji lost hakuna
ubwabwa haukolei nazi yaan kwa kifupi hovyo
Ukiuliza unaambiwa ela haitoshi sijui ni nini na hapo ukirudi sijui una mia 5 hapo una elf 1
Unamuambia km ela haikutosha kwann usingekopa halafu ningerudi nikalipa kimya

Eeeeh sasa waje ndugu zake huwa namuachia elf 5 kusudi lkn hilo dikodiko si la kitoto
Sasa ninachofanya nikirudi halafu nikimuona kafanya ujinga huo huwa nikirudi namwambia ndugu yangu nisindikize kwa mama mara 1(mama anakaa km umbari wa kilomita 1 na nilipopanga mm)
Nampeleka FACEBOOK kinondoni anasosomora vya kutosha tena siku nyingne naenda na mwanangu 7bu najua cha umbea lazima anamuhadirhia mamaake tulivyokura

Wanawake wote sawa nishaoa na kuacha mara 3 lkn huyu nakomaa nae tu sasa utaoa na kuacha hadi lini
Mm nakomaa nao hvyohvyo kivitendo 7bu maneno nishaongea sana
Itakuwa una shida wewe na sio wake zako mara tatu wote tu wanakosea wewe ni malaika?
 
Back
Top Bottom