for life
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 3,394
- 4,430
Kwan walichangampe hela acha kulalama.
Kwan walichangampe hela acha kulalama.
AiseeNa wewe ukimwambia "nikuambie kitu?" Unamuomba mbunye
...au Vicoba?Yani mtu kakuomba hela ila anavyokudai utafikiri katumwa na benki au majembe auction
...Ndio huwa Wanaishia kuendewa Kwa Mpalange hawa !!!Mkuu mbona kama wamzungumzia x wangu ..yaani alikua hivo hivo aisee..analalamikaa utazan kanikopesha .akidaiwa hata ela mchezo lawama kwangu kama mm ndio nimemwambia acheze..luku ikiisha naulizwa atalala vipi bila umeme mpaka analia. Mwisho niliona anamatatizo ya kisaikolojia maana ilikua too much
Na wewe ukimwambia "nikuambie kitu?" Unamuomba mbunye
shemelaah wee hutoagi hela?Aelekee vikoba investment ltd! Huko ndio wanagawa hela
Hana hela huyoSasa si umpe hela kama chini anakupa, au ni hela hauna
Anavoopewa mbunye walichanga?Kwan walichanga
Huyo sio demu huyo ni FINCA.
Hela nampa mke wangu tushemelaah wee hutoagi hela?
Yupo kwa shemeji yake anakunywa uji na kuangalia tamthilia ya Huba 😅 usimchukulie seriousWewe una hela nyingi eeh?
Yaan mtu mwenye hela huwezi kukuta anaanzisha nyuzi kama hizi, afu ukute ela anayolalamikia ni efu 10,20,15, basi akitoa anaona katoooooaa🤣🤣🤣Hana hela huyo
Hakunaga hela nyingi, hela itosheleze mahitaji ya kawaida ya kibinadamu ata ikiwezekana na ya anasa iwepo kwani nan asopenda vitu vizuriWewe una hela nyingi eeh?