Recent content by chief kambona

  1. C

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    hapa waislamu wanahoja za msingi huo ndio ukweli
  2. C

    Yaliyojiri StarTv: Mahojiano Maalum ya Dr. Slaa na Star TV - Tarehe 4 Septemba, 2015

    nimeangalia toka mwanzo hadi mwisho sijamuelewa msimamo wake au madai yake ni nini au anatushauri tufanyeje uchaguzi huu ila upande wa lowasa huko ndio ameponda sana kuwa hafai sasa hapo ndio nashindwa kuelewa kuwa tatizo ni lowasa ama wanaugomvi wao bado sijaelewa kbsa mimi.
  3. C

    Je, ripoti ya Mwakyembe kuhusu Richmond ilificha nini?

    sasa kama mlificha baadhi ya mambo ili kuinusuru serikali ndo kusema ccm haistahili kuongoza nchi? mimi bado sijamuelewa mwakyembe
  4. C

    Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

    Mimi nilishangaa wiki moja nyuma nilitwa na mzee mmoja kwake akaniomba nimtolee Chanel ya TBC kwenye kin'gamuzi chake cha azam kwa kweli nilishangaa sana kama watanzania wamefika hapo kazi IPO kwa kweli maana Mimi nilishindwa kuifuta TBC kwenye azam na sijajua unaifutaje.
  5. C

    Najuta kuoa mwanamke mlokole

    hivi hata hao wachungaji wa hilo kanisa hawasomi biblia au hata kujua haki ya mke kwa mumewe utadhani umewaolea wachungaji bwana hapo kuna vitu viwili sana akijirekebisha atapunguza ratiba za kanisani still bado kuna tatizo upande wa wazazi bado watakuendesha tu inshort hapo hakuna ndoa piga...
  6. C

    Team nzima ya CHADEMA ndani ya Kahama leo mapokezi ya James Lembeli

    mungu akutangulie mh lembeli haki ya MTU haipotei ukiikosa ccm utaipata chadema nilio yaona Leo kahama nimeamin na kujifunza kitu
  7. C

    Kutokana na Theory hii, inawezekana wakazi wengi wa Dar ni Bongo lala

    naweza amini mkuu kuwa ni kweli watu wa maeneo ya daresalaam ni shida yni kila likizo nikienda dsm ni lazima waniulize vp huko musoma naona mnajitahidi sana kulinda kura zenu komaeni lakini cha ajabu wao hawana ujasiri huo wakufanya maamuzi sahihi kumbe shida ni joto leo ndio nimejua
  8. C

    Mke wangu amekiri kunisaliti

    amini usiamini ndugu yangu hyo kitu itakujakujirudia hawa wake zetu wanaoenda chuo sio kabisa mimi mwenzio niliachana naye kabisa
  9. C

    Wanawake wa Mbeya msimsogelee wala kumpigia kura Sugu

    sasa mtu amechukua mtoto wake atamlea mwenyewe tatizo nini mbona mimi wakwe zangu wamemnyan'ganya mwanamke watoto niwalee mimi kuliko mama yao kutokana na tabia zake au ndio kusema na mimi mwanamke aende mahakamani?
  10. C

    Lowassa kioo tuelekeacho

    mimi naona kuna watu bado akili zao wameshikiwa na wengine mtu yeyote mwenye akili timamu huwezi kutegemea lowasa ati aje aongoze tanzania kwanza afya yake haimruhusu kabisa yangu macho tutajionea wenyewe
  11. C

    Nimemtoa out kaja na marafiki zake watatu

    mkuu hiyo safi sana tena naomba wanaume wote tushikamane mwendo ni nduki tu hivi walifikiri wewe ni atm sasa hapo ndo ujue huyo mwanamke sio
  12. C

    Alininyanyasa sana nilipofukuzwa kazi, MUNGU ameniona, sasa yamegeuka

    piga chini haraka sana huyo mwanamke hafai kabisa yani unatembea kwa miguu na gari ipo na wala hakuonei huruma wakati alitakiwa akuliwaze mkuu mimi nilishapona kidonda cha usaliti ikibidi hama kabisa hapo watoto watakuja tu wenyewe
  13. C

    Binti kamwaga ugali, wakuu na mimi nimwage mboga?

    uko sawa mkuu wanawake sio kabisa hivi alikuona wewe wa kijijini nini tena huyo angekua huku kwetu musoma ni panga tu anadhani hela zinaokotwa eti nina boy friend from usa mwambie aache mazarau mambo gani hayo aghhh.
  14. C

    Ushuhuda: Aliniroga uume ukashindwa kusimama siku ya honeymoon

    kumbe hata muarabu hajamroga tatizo ni yeye mwenyewe
  15. C

    Hii ndiyo orodha ya mashujaa wa miaka 50 ya Muungano, Mama Maria na Diamond ndani

    mzee mohamed said hebu tupe ukweli wa mashujaa wetu
Back
Top Bottom