Hivi wewe una akili kweli?
naongelea ile akili ya kuzaliwa tuu, achana na ya shule au inayotokana na mazingira!!
Haiwezekani ukawa nunda kiasi hiki. Unawaangusha sana wanaokutegemea.
Nakuomba ndugu yangu ujitathmini.
Kweli insanity ni kitu cha kurithi
Wewe akili tu hata kutambua huyu ni kuku na huyu ni mende huna
Negativity zako kuhusu LOWASSA sio watanzania wote wanazo na wala hazimnyimi LOWASSA kuwaongoza watanzania wanaomhitaji kupiga kiasi.
E.L THE COMING PRESIDENT