Tafakari:Ni ajabu Chibuku kuizidi dhahabu katika ulipaji kodi Tanzania!
Saturday, 03 September 2011 18:54
Na Julius Samwel Magodi
WASWAHILI wanasema zubaa uliwe. Hilo ndilo linalotokea katika nchi yetu Tanzania kwa sasa.
Sikushangaa baada ya msomaji wangu mmoja wiki hii kuniandikia...
Wakuu nimefarijika sana kutembelea site hii ya business! Mimi nimekuwa natembelea sana jukwaa la siasa na lazima niseme ukweli ilifika kipindi nikaachana na jamii forums. Leo nimefarijika sana kuja huku na kukutana na wana JF ambao wana new ideas na bado hamjakuwa corrupted na wanasiasa. Sasa...
One day b4 wizara ya nishati haija present bajeti yake hapo June, walituonyesha mitambo ya gesi ikiingia ubungo. Wakati kesho wanategemea ku present tena bajeti yao, sasa wanakuja na single mpya!
Hivi Iddi Simba ni mjinga hivi?? Nilikuwa namuona mtu wa maana na sera zake za uzawa kumbe ana lake! Kweli nimeamini hata kwenye CCM wapinga ufisadi si kweli wanapinga ufisadi bali wana ajenda yao nyingine!
Nataka kujua tuu hawa TBL hii ni coincidence au ina maana na wao wapo kwenye vita dhidi ya mafanikio ya JK? Maana kwenye kampeni yao ya miaka 50 ya uhuru wameonyesha tulipotoka, tulipopitia, tulipo sasa na tunapoelekea. Lakini mpaka TULIPO SASA wameonyesha mafanikio ya BM tuu, yaani BOT twin...
Kwa mwenendo huu wa bunge naona ndio mwisho wa CCM.
Chanzo kikuu cha CCM kutofanya vizuri 2010 kinaanzia kwenye bunge la 2007 wakati wa hoja ya Zitto kuhusus mkataba wa Buzwagi kusainiwa London. Nina uhakika wengi wenu mlikuwa mnaangalia tukio lile bungeni kupitia TVs, mimi nakumbuka nilikaa...
This is very true! To me ni unafiki tuu! Na sisi kwa vile hatufikirii tunashangilia! Ovyooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ngoja JK nae atoke utasikia, matatizo ya umeme unatakiwa kufanya a, b, c, d, e........ Bora Chinga yeye kaamua kujikalia...
Kuna jamaa alikuwa anaitwa Juma akapangiwa kazi kyela, basi kule wakafikiri anakosea jina, maana wao lazima waanze na "Mwa", so wakawa wanamuita Mwajuma!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.