Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Wanasema mitambo imetoka Mombasa..ya AGRECO na badra anasema kwenye redio kuwa mambo ni mswano kwanzia septemba mwaka huu
Wanasema mitambo imetoka Mombasa..ya AGRECO na badra anasema kwenye redio kuwa mambo ni mswano kwanzia septemba mwaka huu
serikali ya kisanii na wamefanya hivyo ili bajeti ya nishati ukizingatia kesho ndiyo inasomwa upya..<font color="#000080"><b>Suala si mitambo na MWs, suala hapa ni Mkataba wenyewe ukoje!</b></font>
Wanasema mitambo imetoka Mombasa..ya AGRECO na badra anasema kwenye redio kuwa mambo ni mswano kwanzia septemba mwaka huu
<br />Hiyo mitambo Mipya au Used?
One day b4 wizara ya nishati haija present bajeti yake hapo June, walituonyesha mitambo ya gesi ikiingia ubungo. Wakati kesho wanategemea ku present tena bajeti yao, sasa wanakuja na single mpya!