TBL nao hawaoni alichofanya JK?

chidide

Member
Nov 11, 2010
91
9
TBL.jpg


Nataka kujua tuu hawa TBL hii ni coincidence au ina maana na wao wapo kwenye vita dhidi ya mafanikio ya JK? Maana kwenye kampeni yao ya miaka 50 ya uhuru wameonyesha tulipotoka, tulipopitia, tulipo sasa na tunapoelekea. Lakini mpaka TULIPO SASA wameonyesha mafanikio ya BM tuu, yaani BOT twin towers na uwanja wa Taifa mpya. Ina maana mpaka sas JK hajafanya cha kuonekana?
 
View attachment 33966


Nataka kujua tuu hawa TBL hii ni coincidence au ina maana na wao wapo kwenye vita dhidi ya mafanikio ya JK? Maana kwenye kampeni yao ya miaka 50 ya uhuru wameonyesha tulipotoka, tulipopitia, tulipo sasa na tunapoelekea. Lakini mpaka TULIPO SASA wameonyesha mafanikio ya BM tuu, yaani BOT twin towers na uwanja wa Taifa mpya. Ina maana mpaka sas JK hajafanya cha kuonekana?


Wamepatia kabisa na yes JK hajafanya chochote kwetu ila katumia sana pesa zetu kwenye safari zake nk
 
Juzi ndo kaweka histora kwa kufungua ujenzi wa daraja la kikwete,the rest is nothing so jamaa wako sahihi.
 
Jamani du! Kuna aliyofanya yanaoneka ndungu.mf ujenzi wa udom.ingawa mdau anakabiliwa na changamoto nyingi sana.
 
Nataka kujua tuu hawa TBL hii ni coincidence au ina maana na wao wapo kwenye vita dhidi ya mafanikio ya JK? Maana kwenye kampeni yao ya miaka 50 ya uhuru wameonyesha tulipotoka, tulipopitia, tulipo sasa na tunapoelekea. Lakini mpaka TULIPO SASA wameonyesha mafanikio ya BM tuu, yaani BOT twin towers na uwanja wa Taifa mpya. Ina maana mpaka sas JK hajafanya cha kuonekana?

Nadhani wana visa sababu labda JMK hakamati hakamati the larger.

btn wenye data tafadhalli nomba jibu. R ais wetu kwa burudani yuye hupendelea kinywaji gani? teh teh teh teh
 
Jamani du! Kuna aliyofanya yanaoneka ndungu.mf ujenzi wa udom.ingawa mdau anakabiliwa na changamoto nyingi sana.
mwadada UDOM ni Mkapa hata wakati wa ufunguzi jk alimshukuru Mkapa kwa uanzilishi wa ule mradi yeye awanu yake kaja kuzindua tu miradi iliyoanza wakati wa Mkapa. Barabara zote za kuanzia Dodoma kuelekea singida tabora na kigoma, mipango, draft mazungumzo na makandarasi na hata hilo daraja la malagarasi limeanza wakati wa Mkapa yeye kaja ku finalise tu. hamkumbuki wakati ule magufuli anaahidi mabarabara ya lami toka mtwara hadi bukoba unakwenda kwa tax? jamaa yetu labda hiyo barabara ya sumbawanga mpaka mpanda inayofadhiliwa na MCC.
 
Asante Chimunguru, labda tuendelee kusubili ahadi za mkuu km. Tanga kuwa mji wa viwanda,reli ya kigoma,uwanja wa ndege mkubwa kagera nk... Lakini vipi shule nyingi za kata achilia mbali ubora, na kutoa mikopo kwa wanachuo wa elimu ya juu ktk vyuo binafsi. Kwakuwalinganisha Bm na Jk niwazi Bm mambo aliyofanya ni mengi na sidhani kama wana/ wata fanana. Kama nilivyo kueleza kuwa changamoto ni kubwa sana kwa mh na dalili zinaonyesha kama zinazidi ongezeka. Tuombe heri kwani hali sishwali mgao wa umeme umekuwa ni kizungumkuti.
 
Mafanikio yaliyopo ni kusafiri sana nje na kukutana wa 'wakubwa wote' wa dunia ya leo.Na inasemekana kila safari amefanya juhudi kubwa ya kuleta wawekezaji kuja kuwekeza kwenye giza totoro!!!!
 
Tulipo sasa kwa Kikwete angalia hao wanenguaji sura zao, viatu walivyovaa na afya zao kwa macho unaona je?
 
Back
Top Bottom