Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Ofisi ya Waziri mkuu imezuia agizo/Tangazo la meya wa Dar kuvunja bodi ya Wakurugenzi wa DDC kwa madai kuwa hana mamlaka hayo kisheria. Awali Masaburi aliivunja ili kupisha uchunguzi wa ufujaji wa mali za DDC.
Source TBC1
Je, Masaburi hakujua mipaka yake kuhusu hilo?
Je, zuio la Ofisi ya waziri mkuu lina huo ulazima katika kufanikisha uchunguzi?
Source TBC1
Je, Masaburi hakujua mipaka yake kuhusu hilo?
Je, zuio la Ofisi ya waziri mkuu lina huo ulazima katika kufanikisha uchunguzi?