Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Jk mnamuonea tu mkwele wa watu!! Kwanza kwa sasa hawezi kufikiri sana, maana swaumu ndo mwezi mbichi. Acheni hizo bana!! Prezidaa kwa sasa amefunga bana!!
Kwanza hata haya mambo ya sijui wese, sijui nini, si ni uchonganishi tu wa magazeti.
Laleni Mungu yupo inshalaah, ataleta kheri!!
Kwanza hata haya mambo ya sijui wese, sijui nini, si ni uchonganishi tu wa magazeti.
Laleni Mungu yupo inshalaah, ataleta kheri!!